Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Yaani uombe hela upewe usubiri na kuridhishwa?, kama mtaendelea na tabia zenu za mizinga bila shaka wanaume watakuwa wanafanya juhudi kujiridhisha wao sio kuwaridhisha ninyi maana mmesharidhika na hela mnazopewa
Kisingizio hafifu
 
Kila mtu atabeba msalaba wake me najiridhisha mwenyewe ww kma hukojoi tafta plan b nikupe hela na raha nikupe? Not to that extent
 
Sasa wewe unajua maana ya mwanaume? kwa sababu hayo uliyoyaandika hayamuhusu mwanaume. Mimi nadhani yanawahusu hao unaowafahamu ambao wanakuchafua. Pole sana. Je wakishakuchafua huwa wanakuosha/kufulia nguo?
 
Tatizo unafanya mapenzi na wavulana tena wavulana wa dar alafu unakuja kulalamika kwa ku-generalize mambo.

Jaribu kutafuta wanaume wanaojua kupiga show alafu ulete mrejesho.

Tahadhari usitafute wanaume wa dar-es-salaam
 
Punguza umalaya dada
 
Mara tatu ili iweje! Wengine hatupendi kuchoshana
 

Sasa nyie ndugu pesa tuwape nabado tuwakojoze tena?...mnatakiwa mchague kimoja kama nipesa kukojozwa sahau nakama ni show yakirafiki unahaki yakudai mkojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…