Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?


Halafu na wewe mtoa hela ndo wanataka umuandae!! shenzi kabisa!!
 
Bao 3 ukiunganishiwa za dk 30+ utahimili?!
 
Ujinga mkuu, kama anataka kufikishwa kilele cha mlima si lazima atoe tip kwa mbeba mizigo na tour guide!!

kabisa kiongozi wanataka kila kitu wafanyiwe,

-chakula ununue wewe, kinywaji wewe, nauli ulipe wewe, mjengo wewe, ukamuandae wewe, umkojoze wewe, na baada ya yote haya mwisho anakinga mkono!!

-very unfair- na wengi wao hiyo shughuli yenyewe nayo hata hawaiwezi, papuchi hawajui kuosha basi shida tupu!!
 
Mm hizi siredi ambazo hazina video wala picha nashindwa kabisa cha kuchangia....
Tuwekee kadeo angalau ka bao tatu na ile moja na kakukojoa haraka etc
 
Tatizo unafanya mapenzi na wavulana tena wavulana wa dar alafu unakuja kulalamika kwa ku-generalize mambo.

Jaribu kutafuta wanaume wanaojua kupiga show alafu ulete mrejesho.

Tahadhari usitafute wanaume wa dar-es-salaam
Tuwe makini na comments zetu jamani....unajua Dar kuna rais pia....hahahaaa..hata bashite yupo palepale sasa hii inaweza kusumbua unapojumuisha wanadarisalama wote
 
Kama bado unahangaika kumaliza hamu, usibahatishe tena! NITAFUTE.
 
Daaah... Mm jaman huwa napiga mpaka kila saa naulizwa bado tu... Hilo swali huwa linanikata stim mpaka najikuta kama ndio kwanza naanza
 
Wewe unataka kwenda maratatu yote hiyo ya nini ??
Kwani marambili hautosheki??
Mnataka tukondeane kisa fyokofyoko?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Wewe unataka kwenda maratatu yote hiyo ya nini ??
Kwani marambili hautosheki??
Mnataka tukondeane kisa fyokofyoko?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
teh teh
mkuje wanaume mjibu jamani
Kupiga 3,4,5 si ushujaa watu tunapiga 2 tu za kiufundi na ukiangalia watu wenye kupiga zaidi ya 3 huwa hawana ushupavu wa kufanya sex zaidi ya dakika 2 utakuta dakika 1 tu churuchuruchuruuu dakika ya pili tena churu..... Yaani hawawezi kufanya zaidi ya nusu saa lkn wap watu wanapiga 1 au 2 tu kwa dakika zaid ya nusu saa mpaka demu anasiliti amri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…