Kwanini Wanaume Wana Chuchu (Nipples)?

Kwanini Wanaume Wana Chuchu (Nipples)?

Osaka

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2011
Posts
1,762
Reaction score
553
Salamaleko?

Kama kichwa cha thread kinavyouliza; kifua cha mwanaume kina nyonyo mbili ambazo kwangu naona kama ni kiungo redundant.

Kwani nyonyo zina kazi gani ktk chest ya dume?
I 'm curious to know!
 
Katika hatua za mwanzo za utungaji wa mimba, kunakua hamna jinsia ya kiumbe chenyewe.....ni kama tunafanana tu kila kitu...sasa chuchu zinakua sawa kwa wote......kadiri kichanga kinavyokua ndivyo kinavyotengeneza jinsia na inaenda hadi kwenye balehe.
 
Salamaleko?

Kama kichwa cha thread kinavyouliza; kifua cha mwanaume kina nyonyo mbili ambazo kwangu naona kama ni kiungo redundant.

Kwani nyonyo zina kazi gani ktk chest ya dume?
I 'm curious to know!


Zile nyonyo zetu sie wanaume ni kwa ajili ya mwanamke kunyonya na kutupandisha mzuka wakati wa kale kamchezo. Kazi ya Mungu bwana haina makosa.
 
Katika hatua za mwanzo za utungaji wa mimba, kunakua hamna jinsia ya kiumbe chenyewe.....ni kama tunafanana tu kila kitu...sasa chuchu zinakua sawa kwa wote......kadiri kichanga kinavyokua ndivyo kinavyotengeneza jinsia na inaenda hadi kwenye balehe.

Nimekupata vizuri mkuu!!
Kwa maana nyingine huyu Mr. Darwin ktk natural selection hakuwa sawa?
 
Zile nyonyo zetu sie wanaume ni kwa ajili ya mwanamke kunyonya na kutupandisha mzuka wakati wa kale kamchezo. Kazi ya Mungu bwana haina makosa.

Kaaazi kweli kweli!
 
soma organic evolution utaelewa

hata wanawake wana kisimi (clitoris) ambayo composition and sensitivity ni kama ya `abdala kichwa wazi' (penis)

USE AND DISUSE OF ORGANS!
 
soma organic evolution utaelewa

hata wanawake wana kisimi (clitoris) ambayo composition and sensitivity ni kama ya `abdala kichwa wazi' (penis)

USE AND DISUSE OF ORGANS!

Ok! Umesomeka.
 
haya bhana pamoja na sababu za organic evolution,mungu aliziweka pia kama kiungo kizuri kwenye mapenzi,wewe mtafute mpenz anaejua kunyonya akunyonye vizuri,weee!utaanza kuiona heaven hii hapa utahsi unaelea angani,patamu wee acha
 
haya bhana pamoja na sababu za organic evolution,mungu aliziweka pia kama kiungo kizuri kwenye mapenzi,wewe mtafute mpenz anaejua kunyonya akunyonye vizuri,weee!utaanza kuiona heaven hii hapa utahsi unaelea angani,patamu wee acha

I heard gays ndio kiungo chao muhmu cha starehe...mimi sinaga mzuka navyo ata uvisugieje....pole na hongera
 
Back
Top Bottom