Kwanini Wanaume Wanajichubua?


aisee nawe upo deep! Unayajua hadi makarolaiti!
 
Zaidi wakongo ndio wanaongoza kwa tabia hii.
 
Kuna jamaa mmoja hapa oficni naye anajichubua tena sana tu! Huyo jamaa kasoma kwa level ya Masters degree, lakini bado kajichubua! Wadau wanasema eti wakati yupo masomoni huko Australia, alianza kale kamchezo ka kutoa TIGO!!!!!!!!!!!!!!!!!!1 eti ndo maana anajichubua ili kuvutia wanaume wenzake wampende!!!!!!!!! Hivyo pengine hata hao mapendejee na wasanii wanatabia hizo za kutoa Tigo!
 
Kwani huwezi kutoa tigo hadi ujichubue?
Ma Anti Ally wana kazi sana , du!!!!
 
hapa UDOM hao wapo lukuki.
wengine wana retouch hata nywele zao.dammy it !!!!!
 
He!!! Kuna wanaume wanajichubua?????????????????

Loooooh!

:fear::fear:
 
dahhhh hii inatisha kuliko simba mwenye njaa...mmhh
 
Halafu wananuka sana na hayo makarolite na michanganyo mingine.
 
Halafu wananuka sana na hayo makarolite na michanganyo mingine. Kitu mpingo bana
 
wanaojichubua wote mashosti tu, wanafanya hivyo kuwavutia popo bawa
 
Waasisi wa kujichubua ni wakongoman, kwa kweli wanatia kinyaa hadi wazee wanajikoroga , me hapa ofisi nzima ni kama defao na yondo sister. Kuna mikorogo ya chenyeji (omo, jiki, blue band, na parachichi na binzari au royco), halaf kuna wa (carolite, diprosone,ambi na dawmy)
 
Mkuu kimya!!!Heri ya pasaka!
 
Umesahau blichi,wotagadi...lolz
 
Garden shit!!!Damn it
Hata nyie mnao scrub it is a same boat how come a gentle man unasugua uso na maparachichi ili iweje uwe soft??foolish!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…