Hahaha..shem yani huyu bidada anajisema mwenyewe bila kujua au sijui ndo kajipotezea!!Na kwa jinsi anavyowaandama...anamwagia hasira zote mpaka mumridhishe!
Nazjaz kama naota vile, hao sio wewe uliyetuma habari za kutongozwa mpaka D na M wakalumbana wee mpaka wakapotezea, kweli nyani haoni k..le
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo
style ya niangusage sambi zako mwenyeweEndeleea kumwomba Mungu unazo ziita Pumba zisikukute maishani mwako
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo
Kwani lazima uchangie?? Kama unaona pumba endelea kwingine si lazima na usitupangie cha kuzungumza. Katongozwe hukooooooooo
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo
style ya niangusage sambi zako mwenyewe
punguza jazba mama,
kwa mtoto wa mwanamke mwenzio!!!!
BTW: Ameshakusoma
Kwa hiyo kwa kifupi hapa mnadiskasi nini?
kwa wale ambao wana uenyeji pale milembe nazani watufanyie favour ya kumpatia kitanda huyu mleta sredi hapo milembe. nazani wiki hii hajatongozwa sasa zimefyatuka kidogo.
kwa wale ambao wana uenyeji pale milembe nazani watufanyie favour ya kumpatia kitanda huyu mleta sredi hapo milembe. nazani wiki hii hajatongozwa sasa zimefyatuka kidogo.