ni dhahiri wanawake hawapigwi tuu mradi mtu kajisikia(unless unavuta bangi au una mapungufu-mimi sizungumzii hao) msingi ni kwamba, mume kwa kawaida ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko mwanamke, (hata ukikataa) unless hajakamilika-siko huko. so wananume hupenda vitu viwe perfect atleast, lakini wanawake wengi husahau hicho kitu(na vinginevyo vingi) na hiyo hutokana na wao kuwa na mambo mengi yasiyo ya msingi-kuoga dk30, kujiremba, kubadili nguo mara 3-4 kabla hajavaa kutoka n.k
so wananume hujikuta hana option