Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii.

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.

Binafsi Nimekutana Nayo Sana Hii Hali Na Nimejiuliza Maswali Mengi Ni Kwanini au Wanaume Wenzangu Siku Hizi Wamekubwa Na Tatizo Gani Sijapata Jibu. Nawaombeni Ndugu Zanguni Kama Kuna Anayejua Nini Kipo Nyuma Ya Pazia Basi Si Vibaya " Akitiririka " Humu Ili Sote Tujifunze Kwani Yawezekana Kuna TATIZO Kubwa Lililojificha Na Pengine Linahitaji UFUMBUZI Wa Kina Na Wa Haraka Sana.

Karibuni Na Naomba Kuwasilisha.
 

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.(ujue wanaenzi sodoma na gomora)
 
We jamaa wewe ni tatizo sana.
 
Jina lako lenyewe linateleza unaweza kulifanya mafuta ya mgando pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…