MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Kwa mujibu wa research ya lini? Kafanya nani? Kote duniani ikiwemo Mm napenda models, hiyo mibonge haivutii kabisa. Vitu kama hicho cha pili
Waafrika wengi na hasa Wabongo wa kiume tunapenda wanawake wenye makalio makubwa yaani vibonge. Ulaya mwenye soko mwembamba. kwanini kuna tofauti hizi?
Hahaaaaa aiseeMifupa mtupie fisi nyama ya Simba tu.[emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ati wewe unaonaje wazungu wengi vibamia, sasa jimama limejaa minyama si atamchafua tu. Hata kileleni ataisikia tu kwa shoga zake[emoji6] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Hahaaaaa aisee
vimbau mbau vina mdomo hatareeeBut tunakuja Kuoa Vimbau mbau tuu
Sasa six cylinder kama hilo utaliacha vipi!
tunazungumzia wepi wanapendwa zaidi. hata Afrika wembamba wengi tu wameolewa!kwa uchunguzi upi mkuu mbona unawasemea watu bila kuwa na uhakika?
mbona na wale wanawake vibonge wakizungu mbona pia wanaolewa?