Haha extremists lol Mshauri mwenzio jmnPole sana, hapo kwangu ni pagumu. Ni ngumu sana ku-deal na extremists!!
Tunajitahidi...unakua na mmoja tu nje si wengiHaha, anachapa nje na wewe umeamua umwage mboga kweli? Sasa angalieni msijewaacha watoto, manake huko nje kuna upupu balaa.
Tunajitahidi...unakua na mmoja tu nje si wengi
In life u js need to pick the things u wl settle with and a struggle....hamna perfection..kila mtu ana struggle na kitu flani..
Kama huyu bwana mwaminifu ila she wants Romance and Big shows
Wengine hizo zipo ila ndo vile kila mtu kipepeo anaruka ruka
i could kill for a stable faithful marriage km yeye ambavyo she struggling to rekindle the romance..
u cant have it all...na ukiona siku umepata jua kuna kingine utapoteza such is life...ni kwenda na hizo stages hivyo hivyo
True storySiku itafika atachoka, probably akigonga 50 kwenda mbele huko. Ni kweli hakuna perfect marriage na lazima kupambana na changamoto za ndoa...
Raha ya haya mambo lazima mkutane watu amabao kama ufahamu umewatoka wote.... Kufikishana ni lazima. Mimi mpnz wangu/baadae mke lazima ajiandae. kwanza deki ya ukweli sana kwa wiki japo mara 3 hiyo ni muhimu. Lakini lazima godoro libadilishwe usiku kwa wiki walau mara 3 pia. Na ni lazima pia mpenzi ujue fantasies za mwenzako na umfikishe. Kwa mfano wewe ungekuwa demu wangu mm ni lazima na wewe ujue BJ ya ukweli. Mimi siwezi kuwa na mtu asiyeweza nipiga hiyo kitu vya kutosha.Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.
Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.
Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype
2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.
Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,
Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.
Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.
NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,
sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,
Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bhana kumbe na wewe mambo haya huyajui vyema...... siyo kushika lap lap na kufuta sebuleni khaaaaaaa! Alichomaanisha ni kumla huyo bibi kiufundi kabisa kwa mdomo..... kunyonya.... hasa ulimi ukitumika zaidi lkn target g-sport hadi unamwaga maji na kutoa sumu zote mwilini mama.
Wishes ni one thing na uhalisia is another thing....Raha ya haya mambo lazima mkutane watu amabao kama ufahamu umewatoka wote.... Kufikishana ni lazima. Mimi mpnz wangu/baadae mke lazima ajiandae. kwanza deki ya ukweli sana kwa wiki japo mara 3 hiyo ni muhimu. Lakini lazima godoro libadilishwe usiku kwa wiki walau mara 3 pia. Na ni lazima pia mpenzi ujue fantasies za mwenzako na umfikishe. Kwa mfano wewe ungekuwa demu wangu mm ni lazima na wewe ujue BJ ya ukweli. Mimi siwezi kuwa na mtu asiyeweza nipiga hiyo kitu vya kutosha.
Achana na propaganda za kijinga heti kuwaza kazi sijui na nini muda wote..... huo ni ujuha. Kazi ni kitu kingine na mapenzi ni kitu kingine. Mapenzi ni lazima yafanywe katika ukamilifu wake bhana kwa kufikishana fantasies zenu. Bahati mbaya tu watu wanaoana kwa kutazama vigezo vingine na siyo fantansies zao kimahaba ndiyo maana ndoa nyingi watu haweshi kuchepuka.
Unajua shida kubwa watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mkisha kuwa mke na mume kwa taratibu zote za kiimani nothing prohibits you from doing sex in whichever style you wish except tu kinyume na maumbile. BJ inaruhusiwa na kupiga deki pia.... achana na vitu vingine vidogodogo sijui kumgeuza mwenzio hivi na vile au kuikalia na kadhalika. Shida ya walokole ukiwambia hivi vitu your free to do them wanaona huo ni utenda dhambi. Ni hawana elimu ya kutosha tu juu ya Mungu na mahusiano ya mapenzi. Ndiyo maana kuna mtu aliwahi sema hapa wake za walokole wanamegwa sana na masela na wanapenda kumegwa hivyo. Ni makosa ya wanaume wakilokole kama ilivyo case ya huyu dada.Wishes ni one thing na uhalisia is another thing....
maisha lazma utizame vingi
Kama huyu alitaka mcha Mungu ila ndo hivyoo kakuta aliyoyakuta
Hahaha, madam unanichekesha. Umesema hapigi deki coz wewe upo, na sasa unasema akipata likizo anaenda uvinza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji39]
Mnamletea mlokole story zenu za mtaani hawaelewii😂😂😂Hahaha, madam unanichekesha. Umesema hapigi deki coz wewe upo, na sasa unasema akipata likizo anaenda uvinza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji39]
Hahahhahahhha madam laiti ungejua vijana wanapomaanisha kupia deki maana yake na kwenda uvinza .. Hebu jaribu kuuliza maana yake