unapenda matango cutachamika
Siamini hii maneno, research hii umeifanyia Mikoa gani na data analysis umetumia software gani ndugu yangu? Usiandike vitu vya kuigusa jamii kiasi hiki kwa kujifurahisha. Ila kama ni kweli kuna mambo mengi yanayosababisha (1) Vyakula tunavyokula siku hizi vimechakachuliwa sana, mfano kuku wa nyama, mayai, kitimoto wanalishwa ARV kwa ajili ya kukua mapema na mafuta ya kupika (Korie) (2) Kutokufanya mazoezi (3) Kupiga masterbation (4) Kunywa pombe kupita kiasi (5) Kufanya mapenzi kupita kiasi wakati wa balee (6) Mwenza yaani mwanamke kutokujua kufanya mapenzi (mwanamke kulala tu akisubiri afanywe) (7) Kuvuta sigara na madawa ya kulevya (8) Mawazo ya tofauti wakati wa tendo (9) Kumchoka mpenzi (10) Kuugua magonjwa ya zinaa siku za nyuma (11) Joto kali (12) Kunenepeana (13) Ugonjwa wa moyo (High Blood Pressure) (14) Uchovu mwingi
Sasa mnazaa na akina nani na hizo mbegu zatoka wapi ati ??
Samahani mkuu, hivi wewe ni he au she? Kuna jambo umejichanganya kidooogo hapo ndio maana nina wasiwasi juu ya uelewa wako kuhusu mpango mzima wa Soccer City. Ni hivi;- utaalamu wa mwanaume kumuandaa mpenzi wake hauna uhusiano kabisa na uwezo wa kurudia game zaidi ya mara moja etc. Utaalamu huu unamchango katika kumfikisha mwanamke Kigoma. Kwa upande wa pili, moja ya sababu inayoweza kumrudisha mwanaume kwenye game mara nyingi ni uwezo wa mwanamke kuirudisha akili ya mwanaume kwenye game tena. Hii issue ni topic ndefu sana, inahitaji wasaa maalumu mkuu...!
Samahani mkuu, hivi wewe ni he au she? Kuna jambo umejichanganya kidooogo hapo ndio maana nina wasiwasi juu ya uelewa wako kuhusu mpango mzima wa Soccer City. Ni hivi;- utaalamu wa mwanaume kumuandaa mpenzi wake hauna uhusiano kabisa na uwezo wa kurudia game zaidi ya mara moja etc. Utaalamu huu unamchango katika kumfikisha mwanamke Kigoma. Kwa upande wa pili, moja ya sababu inayoweza kumrudisha mwanaume kwenye game mara nyingi ni uwezo wa mwanamke kuirudisha akili ya mwanaume kwenye game tena. Hii issue ni topic ndefu sana, inahitaji wasaa maalumu mkuu...!
Mlo bora (more vegetables )
Mazoezi ya kutosha
drink plenty of water
good sex life
Very simple recipe ..
mmmh hv kimoja kinaweza kuwa cha ukweli kweli?
Hiyo ni kweli mkuu utakutana na mwanamke mwingine hata kuishika mb*** ni shida anaona aibu, akitoka hapo anaponda huwezi kumbe hana changamoto uwanjani.Samahani mkuu, hivi wewe ni he au she? Kuna jambo umejichanganya kidooogo hapo ndio maana nina wasiwasi juu ya uelewa wako kuhusu mpango mzima wa Soccer City. Ni hivi;- utaalamu wa mwanaume kumuandaa mpenzi wake hauna uhusiano kabisa na uwezo wa kurudia game zaidi ya mara moja etc. Utaalamu huu unamchango katika kumfikisha mwanamke Kigoma. Kwa upande wa pili, moja ya sababu inayoweza kumrudisha mwanaume kwenye game mara nyingi ni uwezo wa mwanamke kuirudisha akili ya mwanaume kwenye game tena. Hii issue ni topic ndefu sana, inahitaji wasaa maalumu mkuu...!
Pumbavu zenu mnawaza vilele 2 hamna kazi?
Pumbavu zenu mnawaza vilele 2 hamna kazi?