Bwana weeh na me nataka kuja kukiona nimechoka kusoma sifa za kingoziKile kipo chini ya kichwa..[emoji41][emoji41]
Sasa kiwe kikubwa kama kidole kidogo...! Aiseeeee! Ukipekechwa nacho hicho unaimba mashairi yote [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Muulize dada hebu mzuka wake ukoje? Manake kuna siku nilihisi ana kifafa..[emoji3][emoji3][emoji3]
Uje mwenyewee sasa! Dada asijueBwana weeh na me nataka kuja kukiona nimechoka kusoma sifa za kingozi
safi sana, waache kilakitu watembee hivyo na wachane nywele kama kawaida tu tuone sasa nani atakuwa mzuriKati ya MWANAUME na mwanamke nani Ana sura MBAYA? Jibu ni mwanamke Ndy Ana sura MBAYA.... umeshawahi kuona MAKE UP ZA KIUME? na KOPE ZA MACHO za kiume? Kama mnajiamini ni warembo MAKE UP na mawigi ya nn?
Enyiwanaume kwanini wenye sura mbaya mkowengi
HapanaUje mwenyewee sasa! Dada asijue
Ukija nae hutoona chochote...Hapana
Nakuja nae
Hapo sawa,nakusubiriaNitakuja siku moja kiwanja chako nichukue zawadi zangu
[emoji15] [emoji15]Mmmh
[emoji3][emoji3][emoji3]Wanaume wabay wote ni kaka zangu
Sitaki mazoea kabisa wajue hilo[emoji3][emoji3][emoji3]
WamekusikiaSitaki mazoea kabisa wajue hilo
Mkuu.sasa mwanaume uwe na sura nzur ya nini?
Ee wanaume wazuri wote njooni kwangu maana ufalme wa maraha na utamu naumiliki mieWamekusikia
Sawa sawa! Nao wamekusikia piaEe wanaume wazuri wote njooni kwangu maana ufalme wa maraha na utamu naumiliki mie
Asante kwa ushirikianoSawa sawa! Nao wamekusikia pia
Safiiiiiii BIG POINTKati ya MWANAUME na mwanamke nani Ana sura MBAYA? Jibu ni mwanamke Ndy Ana sura MBAYA.... umeshawahi kuona MAKE UP ZA KIUME? na KOPE ZA MACHO za kiume? Kama mnajiamini ni warembo MAKE UP na mawigi ya nn?
Sawa lakini...bado sipati definition ya mwanaume mzuri..?Asante kwa ushirikiano