nipo hapa karibuMe nawapenda hao wanaume wa sura mbaya sura za kiume
Kooh kooohHalafu hamna mwanaume mbaya labda awe hana hela.
Hata mm ni mbaya nikiwa nimevaa nguoHuoni hata joti akijiremba anawazidi uzuri wanawake wengi tu.
Wakunyumba mwanao atakulaumu kumbebea baba mbaya wakiwa wanamtania shule ana sura ya babake.Me nawapenda hao wanaume wa sura mbaya sura za kiume
Nafasi hakunanipo hapa karibu
Atachukua sura ya mama akee wakunyumbaWakunyumba mwanao atakulaumu kumbebea baba mbaya wakiwa wanamtania shule ana sura ya babake.
Tuache team mariyoo sieKwani sura ya mwanaume inaweza chakula mezani, kujenga nyumba au kutoa genye?
Hahahahaa.. akimix na baba anatoka mzuri. Ila wanaume tunaoamini wabaya wakizaa na wadada wazuri huwa mtoto anakuaga mzuri sana. Ila wazuri kwa wazuri mtoto anakuaga kawaida tu.Atachukua sura ya mama akee wakunyumba
Raha ya mwanaume akupende bwana, hata awe na pua kama mouseMzuri kwako mbaya kwa mwenzio
ina tegemea unaangalia sura ipi na uzuri upi.Sura kama ya kwenye zipu ni nzuri hii sura nyingine unaitakia nini na wengine wanapenda ura ya pochiEnyiwanaume kwanini wenye sura mbaya mkowengi
Kwanza unadhani hata utamuona mbaya kama unampenda?Raha ya mwanaume akupende bwana, hata awe na pua kama mouse
Wewe acha, yaani mvua inanyesha ameshatafuta4wD ya kukupeleka kazini usipate shida, hata akiwa kama RemnyKwanza unadhani hata utamuona mbaya kama unampenda?
Nakwambia hata kama ulikua unamuona kama Remmy akianza kukushower na mavitu mazuri unajikuta unamuona Michael Ealy huyu hapaWewe acha, yaani mvua inanyesha ameshatafuta4wD ya kukupeleka kazini usipate shida, hata akiwa kama Remny