Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 481
Bahati mbaya i can only give yu one "like".Kwani sura ya mwanaume inaweka chakula mezani, kujenga nyumba au kutoa genye?
Sawa mkuu nakujaYangu kama ya masoud sura mbaya .njoo pm basi
Yupo busyNamsaka dada yako
Ila we ni muhandsomeWoyooooo [emoji481][emoji481]
Nina sura ngumu hadi natamani sakayo aipost hapa..Ila we ni muhandsome
Inaitwa enyindo ! 🙂Raha ya mwanaume akupende bwana, hata awe na pua kama mouse
Ngoja nimpigie manake naona hizi kazi zake zinamzidi sasa..! Anamsahau kivuruge wakeYupo busy
Kwa niaba ya wanaume wote tunao jitambua kula tano mkuu. Kwa hoja yako nzuri.Kati ya MWANAUME na mwanamke nani Ana sura MBAYA? Jibu ni mwanamke Ndy Ana sura MBAYA.... umeshawahi kuona MAKE UP ZA KIUME? na KOPE ZA MACHO za kiume? Kama mnajiamini ni warembo MAKE UP na mawigi ya nn?
MhNina sura ngumu hadi natamani sakayo aipost hapa..
Sakayo alikutumia sura feki wewe [emoji3][emoji3].Mh
Acha uongo sura yako naijua
Hapana sio fakeSakayo alikutumia sura feki wewe [emoji3][emoji3].
Hebu agiza heineken kwanza..!Hapana sio fake
Ndio hivyo hivyo Mungu alivyotaka tuwe,na nyie mbona wanawake wengi wana sura mbaya...Enyiwanaume kwanini wenye sura mbaya mkowengi
Ndio nakunywa hapa sema suu niwekeHebu agiza heineken kwanza..!
Suuuuu!Ndio nakunywa hapa sema suu niweke
Handsome wangu wa kimasai...Namsaka dada yako
Sura ngumu bhanaaaHandsome wangu wa kimasai...
Inaanzaje kuwa ngumu mumeSura ngumu bhanaaa