Kwanini wanaume wengi wanapeform better nje ya ndoa kuliko kwenye ndoa zao


mpwa hizi ni parttime akirudi ndani zile mbili za permanent ziko palepale yoote hii ni kujituma mpwa ukiamua mi nilishawahi kujiuliza sikumoja kwa nini nampa mbili kwa tatu mama didy nikaamua sikuhoyo zilikuja bibie basiasi akauliza kulikoni mpenzi mganga wako kasema leo unanipa mimba nini??ni kujikoki auto mpwa
 
kuna jamaa mmoja huwa namuona akienda kwenye mechi anabeba paket 4 hata 5 za kondom na akirudi huko huwa zimeisha zote! Nahisi hawa ndo wale wa pampu mbili au tatu wazungu hao wanatoka!

mkuu hao kwa taarifa yako sio zimeisha awajatumia hata moja wanaona aibu kuzitoa hadharani wanaziacha huko
nimeona wengi wanaojifanya kubeba nyingi wanaishia kufakamia kavu kama shetan ameamua kuwageukia yaanai leo mnataka kunimaliza ngoja niwamalize ninyi waalahi hata moja awagusi nenda baada ya kumaliza wanatabia ya kuficha juu ya dirisha zisionekane na wasafishaji wajue jamaa imekula kwake leo
 
ni suala la kisaikolojia , na ubunifu na mazoea ndo yanafanya perfomance iwe high au low

ubunifu na mazoe a hayo ndio tunayataka mtuelimishe jamani tuokoe hizi shida za kwenda mahakamaani kila siku kwa ajili ya talaka mbona hivvvviii embu mwaga wenzio waelimike INVOICE NI pm............
 
Kwa sababu na wale wanaokutana nao wanawapelekeshea segere la kufa mtu. sasa ukijifanya kuzembea utaonekana hujui kitu
 
ha ha haaa!! very funny.
 
watu wazima wanapopata nafasi ya kuongea yasiyozungumzika waziwazi...bao la kwanza bao la tatu nk...big up wazazi wetu.
 
<br />
<br />

Very disgusting! Yaani anachovya nje alafu anaenda kumwaga kwa mkewe makombo?
Siamini hii.
Si basi hata angejifanya anaumwa ili asime mkewe shombo?
Atajisikiaje kama ndio angekuwa mkewe kapigwa bao mbili za ujazo wakati yeye anapiga mabao nyumba ndogo, alafu na wao wakutane baada ya hapo? Imagine mme kuongezea mabao ya mme mwenza?
 
watu wazima wanapopata nafasi ya kuongea yasiyozungumzika waziwazi...bao la kwanza bao la tatu nk...big up wazazi wetu.
TEEHE! TE TE!! We mkuu umenichekesha mpaka watu wananishangaa.
 

ndi maana napenda tuoge kabla ya shuguli nisijekuwa najazia za mwenzangu teehteeehhh
ushindwe na ulegee
 
Tatizo ni hili:
matatizo katka ndoa,
msongo,
mazoea yakitu hichohicho.
Wanawake kutokuwa wabunifu.
 
nahisi ni ugonjwa

Kuna siku nilishuhudia kijana anakunywa viagra na pombe, kisa kuna demu alikuwa anamtegemea aje wande wakaFANYE MAMBO YAO. Unategemea nini huko walikoenda?
 
Jamae, tuongee reality.. Bao zaid ya moja kwa mke kwa usiku mmoja sio common. Nijuavyo mm wanandoa wengi wanapiga bao 1 la heshima wanalala. Pengine cku za weekend au mapumziko ndo wanaweza kuwa na mda wa kwenda zaid ya 1. kwa nyumb ndogo zinapigwa zaid ya 1 kwa sabab mtu huend pale kila cku, na ukienda umeenda kwa shughuli hiyo.
 
<br />
<br />
sure.
 
Si unataka kuonyesha umahili huko nje..Ndani ulishazoea kila mapishi kwa hiyo inakuwa taabu kidogo.Nje unakuwa haujazoea mapishi so unajifanya na wewe mtaalum wa kufunga mabao hata matano unaweza kufunga siku kama hiyo.Lakini baada ya muda kama miezi sita najua utarudi kwenye 2 au moja.Usishazoea.
 
sijakuelewa kufunga mabao matano ndio umahiri????????? au ni upechwechwe uliokothiri!!!!!!!!!!!!!!!!!!


 
Kobelo, wengine bao ni dakika moja tu yaani pump mbili kushnehi, si ajabu kuwa hata na kumi

Hawa wa bao dakika moja wanamtendea haki yule wa jinsia tofauti kweli?
 
Shantel; Kobelo, wengine bao ni dakika moja tu yaani pump mbili kushnehi, si ajabu kuwa hata na kumi



?????????????????????? Kwani kuku?

Wengiii haaoooo nowdays! Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…