Nah waykwa mtu mwenye malengo ya mbele,kwa mtu asiye na malengo anaishi ilimradi tu ndo atasema ni ushamba,na pia nikupe siri tu hata matajiri unaowaona leo wanamwaga bia ni watu wa bajeti sana,yeye hata mia anataka ajue imetumikaje
na mda mwingine ni akili yaani kuna watu wana vichwa vigumu hata uongeeje aniAise ugali ukiupasha kwenye microwave unarudia upya wake....basi yeye kazoea maisha mteremko..... Hawa ndo wale umetetereka kidogo anakukimbia kutafuta wa kuendana nae kwa kipindi hicho
Nimeongea kwa ujumla wanawake maana hiki ni kilio cha wanaume wengi tunaofatilia mambo ya jikoni. Siwafichi mimi huwa nafatilia mambo ya jikoni.
Pakti moja ya chumvi inatakiwa itumike miezi miwili😅Hahaaa chunvi kijiko kimoja
Huyo mkeo mshamba tu, sasa mtajenga lini au tayari mnamjengo wa haja, wewe fanya kama umepungiziwa mshahara wako, punguza pesa ya matumizi nunua vya wiki moja kisha vya siku mbili mbili atajifunza, kuna watu wengine ni malimbukeni akipata hujisahau sana!Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi alafu anakwambia ameshiba! [emoji848]
Wanaume tumeumbwa mateso hadi kwenye ndoa yanatukuta haya. Leo naongelea wanawake walioolewa au wanaoshi na wanaume kama familia, kwanini wengi wao wana tabia hii? KUTUPA CHAKULA!!! [emoji24]
Nikijitolea mfano mimi binafsi nimetoka familia masikini, Mungu kanijaalia nna kipato cha kubadilisha mboga kwa sasa. Kwakuwa chanzo kikuu cha mapato ni mshahara basi huamua kununua vyakula vya jumla kila mwisho wa mwezi mf. mchele,unga, mboga kama maharage, dagaa, samaki, nyama ya ng'ombe, kuku n.k yani kiufupi mwisho wa mwezi friji inakuwa top kwa mazagazaga na huwa tunapanga kabisa na mke wangu anunue vitu kiasi gani lakini matumizi ya vitu hivi yanakuwa ya hovyo sana hadi kupelekea kitu fulani kuisha mapema kabla ya muda mliojiwekea. Na hata ukimuuliza kuhusu pesa ya matumizi uliyompa tofauti na ya manunuzi ya vitu hivyo utaambulia patupu.
Kuna jambo wanawake hawawezi kubajeti kabisa hasa kipimo cha chakula. Unakuta mchana wanapika ugali mkubwa hadi jioni unatoka kazini unakuta hotpot limejaa ugali na mboga kibao zimebaki wote wameshakula na mimi huwa sili nyumbani mchana siku za kazi. Usiku pia wanapika wali kibao unabaki, asubuhi hauliwi wote sababu kuna mkate au mwanamke kajisikia kupika tambi au chapati, mchana unakuta sufuria limelowekwa na mpunga kibao mwisho wa siku wanapewa kuku wale....
Nimeongea kwa ujumla wanawake maana hiki ni kilio cha wanaume wengi tunaofatilia mambo ya jikoni. Siwafichi mimi huwa nafatilia mambo ya jikoni.
Nna rafiki zangu wengi, ndugu zangu na jamaa wanaoishi maisha ya shida sana, mfano jana nilipigiwa simu na rafiki yangu ananiambia hadi muda huo (saa 2 usiku) hajajua watoto watakula nini akaniomba nimsaidie kumtumia buku mbili tu japo anunue mkate. Si kwamba napesa nyingi lakini najua uhalisia wa anachoniambia sababu haya maisha nimeyaishi nilipambana nikamtumia hela ya kula siku hiyo.
Nikirudi kwa mke wangu mimi hajali kabisa unaweza kushangaa baada ya siku 15 tu anakwambia mchele karibia unaisha, namuuliza mmetumia mchele kilo 30 kwa siku 15?! Jibu lake rahisi anajibu 'unadhani mimi naumwaga, si watoto wako wanakula!' Mwanamke mwenyewe katoka familia hizi hizi kama zetu sijui kwanini hana uchungu!
Lakini si wote kuna wanawake wanajua kubajet aiseee... Kama shemeji yangu mama Alice nakumbuka wakati huo tunaishi nae nyumba moja na mume wake(rafiki yangu). Huyu mwanamke hatumii kwasababu vipo tu, nisiseme mengi.
Kama kusema nilishasema sana sasa hivi naumia tu maana ukizidi kuongea hawachelewi, utasikia "We mwanaume una gubu kweli, mambo ya jikoni yana kuhusu nini?"
Ah! Basi bana, namwachia Mungu [emoji22]
Ha haaUzi ufungwe[emoji106][emoji120]
Hapana siwezi kwanza kuna wakati tulitofautiana kabisa wakati huo nilikuwa chapombe haswa alinilaumu kwamba nasababisha mume wake awe mlevi 🤣 sasa nimeacha pombe lakini hatuna mahusiano mazuri lakini kwenye ubora wake namkubali. Niliwahi kuandika uzi kuhusu ugomvi wetu lakini mods waliufuta maana niliandika nikiwa chakali na hasira juu 🤣🤣🤣Huyo shemeji Mama Alice asipokua makini utamla... Unaonekana Unamkubali sana Shemeji mama Alice
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Pole kwa changamoto mkuu tafuta vyombo(kontena ambazo zinaonyesha ujazo wa kitu zitamsaidia kwenye kupima vyakula)Ulishawahi kutoka na mwanamke wa mjini sister du fulani out? Akiletewa menu anaagiza nusu kuku na chips alafu anakula kiupaja kimoja na vichips kadhaa anajifuta na tishu kwa mikogo vingereza vingi alafu anakwambia ameshiba! 🤔
Wanaume tumeumbwa mateso hadi kwenye ndoa yanatukuta haya. Leo naongelea wanawake walioolewa au wanaoshi na wanaume kama familia, kwanini wengi wao wana tabia hii? KUTUPA CHAKULA!!! 😭
Nikijitolea mfano mimi binafsi nimetoka familia masikini, Mungu kanijaalia nna kipato cha kubadilisha mboga kwa sasa. Kwakuwa chanzo kikuu cha mapato ni mshahara basi huamua kununua vyakula vya jumla kila mwisho wa mwezi mf. mchele,unga, mboga kama maharage, dagaa, samaki, nyama ya ng'ombe, kuku n.k yani kiufupi mwisho wa mwezi friji inakuwa top kwa mazagazaga na huwa tunapanga kabisa na mke wangu anunue vitu kiasi gani lakini matumizi ya vitu hivi yanakuwa ya hovyo sana hadi kupelekea kitu fulani kuisha mapema kabla ya muda mliojiwekea. Na hata ukimuuliza kuhusu pesa ya matumizi uliyompa tofauti na ya manunuzi ya vitu hivyo utaambulia patupu.
Kuna jambo wanawake hawawezi kubajeti kabisa hasa kipimo cha chakula. Unakuta mchana wanapika ugali mkubwa hadi jioni unatoka kazini unakuta hotpot limejaa ugali na mboga kibao zimebaki wote wameshakula na mimi huwa sili nyumbani mchana siku za kazi. Usiku pia wanapika wali kibao unabaki, asubuhi hauliwi wote sababu kuna mkate au mwanamke kajisikia kupika tambi au chapati, mchana unakuta sufuria limelowekwa na mpunga kibao mwisho wa siku wanapewa kuku wale....
Nimeongea kwa ujumla wanawake maana hiki ni kilio cha wanaume wengi tunaofatilia mambo ya jikoni. Siwafichi mimi huwa nafatilia mambo ya jikoni.
Nna rafiki zangu wengi, ndugu zangu na jamaa wanaoishi maisha ya shida sana, mfano jana nilipigiwa simu na rafiki yangu ananiambia hadi muda huo (saa 2 usiku) hajajua watoto watakula nini akaniomba nimsaidie kumtumia buku mbili tu japo anunue mkate. Si kwamba napesa nyingi lakini najua uhalisia wa anachoniambia sababu haya maisha nimeyaishi nilipambana nikamtumia hela ya kula siku hiyo.
Nikirudi kwa mke wangu mimi hajali kabisa unaweza kushangaa baada ya siku 15 tu anakwambia mchele karibia unaisha, namuuliza mmetumia mchele kilo 30 kwa siku 15?! Jibu lake rahisi anajibu 'unadhani mimi naumwaga, si watoto wako wanakula!' Mwanamke mwenyewe katoka familia hizi hizi kama zetu sijui kwanini hana uchungu!
Lakini si wote kuna wanawake wanajua kubajet aiseee... Kama shemeji yangu mama Alice nakumbuka wakati huo tunaishi nae nyumba moja na mume wake(rafiki yangu). Huyu mwanamke hatumii kwasababu vipo tu, nisiseme mengi.
Kama kusema nilishasema sana sasa hivi naumia tu maana ukizidi kuongea hawachelewi, utasikia "We mwanaume una gubu kweli, mambo ya jikoni yana kuhusu nini?"
Ah! Basi bana, namwachia Mungu 😢
huwezi kumaliza tatizo mkuu, ukimaliza tatizo mkeo ataona unamnyanyasa, japo hatokuambia, so kama ukijakuona vp utarudia ombi langu basi.Tumekubaliana nakomaa kumaliza tatizo watu wamefunguka mbinu za kutosha 🤣
Dah! Good idea... Niliwahi kuona pia lakini sikutilia maanani kwa upande wangu. Hili wazo zuri sanaSometimes haya
Pole kwa changamoto mkuu tafuta vyombo(kontena ambazo zinaonyesha ujazo wa kitu zitamsaidia kwenye kupima vyakula)
Wengine wana hadi mizani ya jikoni ile midogo ya kidijitali inasoma ujazo wa kitu
Jaribu huenda ikamsaidia
Lakini usisahau kumchana kwamba huwa unaumia sana kuona chakula kinatupwa ovyo ovyo
Na wewe usimpangie mwenzako,umenunulia simu na bando kwani?pambana na hali yakoBado ndugu yangu una taabu
Huwezi kunipangia la kufanya na la kuongea.
Ishi kwenye mstari wako and am doing my way