Hizo ni tamaduni za kimagharibi. Mfano,kumwita mwanamke señora inamaanisha ni heshima fulani hivi na ana umri mkubwa kidogo. Hii hawapendi kabisa na hivi hawapendi kuitwa jina hili.Wengi wao hupenda kuitwa niña yaani mtoto(wa kike). Kuna mwanamke hapa nilimfananisha na mama yangu akakataa katakata akasema yeye ni kama sister angu lakini umri wake ni zaidi ya mama angu. So hii inaendana kabisa na wanawa kekukataa kuzaa watoto wengi kuogopa kuzeeka. Haya ni yale mambo yetu ya totoz wanajua wanaume tunapenda totoz.