Kwanini wanawake ni wepesi sana kufua kuliko wanaume?

Kwanini wanawake ni wepesi sana kufua kuliko wanaume?

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Kwanini kazi ya kufua nguo inaonekana kuwa nyepesi sana kwa upande wa wanawake...siri ni nini?

Mimi ni mtu wa mazoezi lakini kufua nguo mbili huwa nachoka haswa, lakini utakuta mdada anafua furushi la nguo, hizo nguvu wanazitolea wapi?

Mbususu na kufua ndio zitakuwa sababu za msingi sana mimi kuoa.
 
Hapo juu kwenye comments kuna mdada kakujibu kua hatayeye kufua nikipengele sana.
Hivyo kua makini sana juu yamtazamo wako kuhusu kwamba utaoa kwaajiri yakukwepa hilo.
Hili jukumu lakufua pengine ukaendelea kupambana nalo kwakua hatahao wanawake baadhi kufua kwao ni kipengele sana👈
 
Back
Top Bottom