Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 767
- 1,312
Vitu vichungu hawaviwezi sio [emoji23]Wengi wao wanapenda kula zile kashata
Sio wote wapo mbona inapanda tena wanakutandikia hata vikombe 7 vile vidogoVitu vichungu hawaviwezi sio [emoji23]
Salaam wakuu, kama kuna mtu ana sababu za kitabibu au kisaikolojia naomba atujuze.
Mnisamehe kama hii mada sio ya hili jukwaa na kama ilishawahi kujadiliwa.
Oookey, nimekusoma mkuu, yeah ni kweli sababu hawakai vijiweni ndio maana hatuwaoni!Bibia yangu huwa anajitengezea mwenyewe kahawa, aliyo lima.
Yupo vizur kiafya, hasumbuliw na magonjwa ya uzeeni kabisa
[emoji23] [emoji23] hatari sana huyoKuna mmoja hapa maskani anakuja na jagi kabisa! Na lazima aonje kama ina vigezo
Hata me nazipenda mnoWengi wao wanapenda kula zile kashata
Hata me nazipenda mno
Mbili au nne. Japo huwa naangalia ni mtu wa Aina gani anauza. Sio unijie na uchafu wako. Sitanunua [emoji23]Una uwezo wa kula ngapi
kahawa vikombe saba?huo moyo si utazimaSio wote wapo mbona inapanda tena wanakutandikia hata vikombe 7 vile vidogo
Nasikia tu kwa watu sina uhakikaKumbe watembeza kahawa ni wagogo..
Inasemekana but hakuna uthibitishoHivi ni wagogo tu ndio watembeza hii kitu ee!!!?
Swali zuri sana, ngoja aje anaefahamu huu weusi na uchungu wa kahawa unatoka wapi na una madhara gani.Tangu lini Kahawa inakuwa nyeusi.....? Ukiuliza wanakuona wewe Mshamba.. Ninachokiona watu wengi wanalishwa Mkaa wa Kahawa wanakaanga Kahawa mpaka ladha inaondoka.....Kwa maana hiyo kwa ujinga wa kuogopa kuonekana Mshamba wamakunywa Sumu iliyopo kwenye Mkaa....
Hivi ni kweli Ladha ya kahawa ndiyo ile kweli.......?