SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Wakuu wanaume wa Dar tumeshambuliwa sana humu mjengoni kufikia hatua ya kuambiwa sisi ni waoga, tuna upungufu wa nguvu, legelege na majina mengi mengi tu ambayo watoto wa wakulima wa huko mikoani wamejisikia kutuita.
Lakini nimejiuliza swala hili mara nyingi sana, KWANINI WANAWAKE WA VIJIJINI WANATAMANI TUWAOE TUJE TUISHI NAO MJINI? yaani kijana wa Dar unapoamua kwenda likizo kupumzika na kusalimia ndugu basi katika kijiji hicho ulichofikia wanawake wa hapo upagawa na wewe, kama kina Kim nana huku mjini wanavyopagawa na vibabu vya kizungu.
Mimi mwenyewe katika vijiji nilivyowahi kufika hapa Tanzania kazi ya kutembea na hawa wadada ilikuwa rahisi enzi hizo kwani ILE KUTOKA KWANGU DAR KULINITAKATISHA MBELE YA MABINTI WA UP COUNTRY.
Najiuliza kwanini wanatupa nafasi kubwa mbele ya wapiga jembe? Tena hata kama bwana wake mpiga jembe hana mkwanja wa kutosha binti uwa radhi amuache huko vichakani aje uishi naye town hata kama ujajipanga kivile kimaisha.
Nini kinawapagawisha kwetu kuwapita wanaume wa MIKOANI?
Lakini nimejiuliza swala hili mara nyingi sana, KWANINI WANAWAKE WA VIJIJINI WANATAMANI TUWAOE TUJE TUISHI NAO MJINI? yaani kijana wa Dar unapoamua kwenda likizo kupumzika na kusalimia ndugu basi katika kijiji hicho ulichofikia wanawake wa hapo upagawa na wewe, kama kina Kim nana huku mjini wanavyopagawa na vibabu vya kizungu.
Mimi mwenyewe katika vijiji nilivyowahi kufika hapa Tanzania kazi ya kutembea na hawa wadada ilikuwa rahisi enzi hizo kwani ILE KUTOKA KWANGU DAR KULINITAKATISHA MBELE YA MABINTI WA UP COUNTRY.
Najiuliza kwanini wanatupa nafasi kubwa mbele ya wapiga jembe? Tena hata kama bwana wake mpiga jembe hana mkwanja wa kutosha binti uwa radhi amuache huko vichakani aje uishi naye town hata kama ujajipanga kivile kimaisha.
Nini kinawapagawisha kwetu kuwapita wanaume wa MIKOANI?