Kwanini wanawake wanatunza sana magari?

Sasa mtu hata kuhama lane barabarani hawezi,muoga anashika steering kama ungo,hiyo ajali ya kuharibu gari ataipatia wapi??..
 
ni waoga hawawezi kustahimili mikiki,wakati kufungua tu boneti shida,wengi wao ni kukamata starling tu halafu wanaendesha automatic
 
Siku mwanaume akiendesha gari ya mke wake...

Mume: Gari yako inamuda gani toka ianze kufanya (hapo unakuta miguu inagonga balaa)
Mke : kufanya nini tena?

Ila kwa nionavyo mimi, gari za wanawake ni safi kwa nje tu... Chafu ndani.
Na kuhusu gari kuchoka, kwani we ulishaona mwanamke yupi anajifunza drifting?? Anafuta kisahani?? au anaomba chumba?? Kama tu ukaaji wao ndiyo ule wa kutokuegamia seat.
 
Mwanamke akupe lift, si utakesha barabarani? 😂
 
Inategemea lakini mimi nilisafiri nilimuachia gari mtu jinsia ya KE nilikukuta amezidisha karibia 300km plus za kuchange oil
 
Inategemea lakini mimi nilisafiri nilimuachia gari mtu jinsia ya KE nilikukuta amezidisha karibia 300km plus za kuchange oil
Mambo ya oil hawayajuagi ilitakiwa umkabidhi na fundi angeua engine aise. Wengi Wao ni kuwasha na kusepa kukagua sijui maji upepo never.
 
Mambo ya oil hawayajuagi ilitakiwa umkabidhi na fundi angeua engine aise. Wengi Wao ni kuwasha na kusepa kukagua sijui maji upepo never.
Yaan toka siku io namshikishaga ki card cha service kabsa .Ila ndio niliamini gari za Mjapan zinavumilia kwa kwer
 
Kwa nje sawa na usafi wa ndani ila vitu muhimu kama kufanya service ni changamoto kwao ...muonekano unaweza kuwa uko vizuri ila majanga kwenye vitu vya msingi
 
ni kweli gari zao wengi ndani ni chafu. Hivi ni kwanini asilimia kubwa huwa hawaegamii seat?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…