Huwa nashangaa sana, mimi sio handsome kwanza mimi mweusi kama mkaa, sina hela, sijui kuvaa (sio bishoo) yaani muhuni muhuni kimtindo.
Lakini wanawake kibao shobo nyingi hawanipingi kivyovyote. Hakuna mwanamke nikamuwekea tageti ya kumla nikamshindwa na amini usiamini kutongoza sitongozi natumia tu mbinu zangu nazozijua kumla na sio kwa malipo wala nini.