Kwanini Wanawake wanawavumilia Wenza wao wanaowapiga?

Kwanini Wanawake wanawavumilia Wenza wao wanaowapiga?

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Wakuu,

Njooni tuongee mahusiano. Yaani huko mtaani kuna mtu unajua kabisa anapigwa anavunjwa mpaka viungo na Mpenzi/ mumewe lakini haondoki

Tena cha kushangaza unakuta ndo wanazidi kuzaa na watoto. Unajiuliza ni kwamba hawaumii au mapenzi ni muhimu kuliko uhai na usalama wao?

Ukiuliza wengine wanasema ni upendo, kweli upendo unaweza kufanya ukahatarisha maisha yako kwa ajili ya mpenzi?

Hii sababu ya upendo iko shallow sana

Karibuni kujadili
 
Wakuu,

Njooni tuongee mahusiano. Yaani huko mtaani kuna mtu unajua kabisa anapigwa anavunjwa mpaka viungo na Mpenzi/ mumewe lakini haondoki

Tena cha kushangaza unakuta ndo wanazidi kuzaa na watoto. Unajiuliza ni kwamba hawaumii au mapenzi ni muhimu kuliko uhai na usalama wao?

Ukiuliza wengine wanasema ni upendo, kweli upendo unaweza kufanya ukahatarisha maisha yako kwa ajili ya mpenzi?

Hii sababu ya upendo iko shallow sana

Karibuni kujadili
Wewe inaonekana ni feminist
 
Njaa si nzuri.
Hili sualaa ungejadili na mama ako, ungepata majibu mazur zaidi
 
Wakuu,

Njooni tuongee mahusiano. Yaani huko mtaani kuna mtu unajua kabisa anapigwa anavunjwa mpaka viungo na Mpenzi/ mumewe lakini haondoki

Tena cha kushangaza unakuta ndo wanazidi kuzaa na watoto. Unajiuliza ni kwamba hawaumii au mapenzi ni muhimu kuliko uhai na usalama wao?

Ukiuliza wengine wanasema ni upendo, kweli upendo unaweza kufanya ukahatarisha maisha yako kwa ajili ya mpenzi?

Hii sababu ya upendo iko shallow sana

Karibuni kujadili
feminist hawatauelewa huu uzi
 
Wakuu,

Njooni tuongee mahusiano. Yaani huko mtaani kuna mtu unajua kabisa anapigwa anavunjwa mpaka viungo na Mpenzi/ mumewe lakini haondoki

Tena cha kushangaza unakuta ndo wanazidi kuzaa na watoto. Unajiuliza ni kwamba hawaumii au mapenzi ni muhimu kuliko uhai na usalama wao?

Ukiuliza wengine wanasema ni upendo, kweli upendo unaweza kufanya ukahatarisha maisha yako kwa ajili ya mpenzi?

Hii sababu ya upendo iko shallow sana

Karibuni kujadili
Vipigo vingi vinatokana na midomo ya wanawake.
Mnaongea nyie watu mmeshindikana.

Ukimpa kelebu moya akili inakaa sawa.
 
Wakuu,

Njooni tuongee mahusiano. Yaani huko mtaani kuna mtu unajua kabisa anapigwa anavunjwa mpaka viungo na Mpenzi/ mumewe lakini haondoki

Tena cha kushangaza unakuta ndo wanazidi kuzaa na watoto. Unajiuliza ni kwamba hawaumii au mapenzi ni muhimu kuliko uhai na usalama wao?

Ukiuliza wengine wanasema ni upendo, kweli upendo unaweza kufanya ukahatarisha maisha yako kwa ajili ya mpenzi?

Hii sababu ya upendo iko shallow sana

Karibuni kujadili
wanawake wengi huwa hawataki ndoa iliyotulia au mwanaume aliyetulia kwenye ndoa asiye na mawaa,wenyewe wanataka kuwe rapsha na purukushani ya maneno,na mwingine ukimpiga ndo unamtoa ugwadu anazidi kukupenda
 
Wakuu,

Njooni tuongee mahusiano. Yaani huko mtaani kuna mtu unajua kabisa anapigwa anavunjwa mpaka viungo na Mpenzi/ mumewe lakini haondoki

Tena cha kushangaza unakuta ndo wanazidi kuzaa na watoto. Unajiuliza ni kwamba hawaumii au mapenzi ni muhimu kuliko uhai na usalama wao?

Ukiuliza wengine wanasema ni upendo, kweli upendo unaweza kufanya ukahatarisha maisha yako kwa ajili ya mpenzi?

Hii sababu ya upendo iko shallow sana

Karibuni kujadili
Ndo mwanzo wa nyie wenyewe kuongeza single maza mtaani kwa ushawishi wenu
 
Back
Top Bottom