Kwanini wanawake wanaweza ku survive wakati sisi tumewazidi kiuchumi

Kwanini wanawake wanaweza ku survive wakati sisi tumewazidi kiuchumi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Unakuta mnafanya kazi wewe Mwanaume unalipwa 20000 kwa siku ila unayumba balaa mikopo unayo na bado hazitoshi kabisa hata boxer tu au sendo kununua inakuwa kipengele lakini unakuta mdada analipwa 10000 kwa siku ila ana survive kinyama kuliko wewe anakuwa na vitu vingi, perfume, mazagazaga kibao.

Shida kubwa ni nini? Kwa sababu tunawaonga sana kiasi kwamba hawatumii hela zao sana na shida nyingine ni sisi wanaume tunatumia tu hovyo pesa zetu kwenye kula bata kupita uwezo wetu.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

1626248809872.png

 
Unakuta mnafanya kazi wewe Mwanaume unalipwa 20000 kwa siku ila unayumba balaa mikopo unayo na bado hazitoshi kabisa hata boxer tu au sendo kununua inakuwa kipengele lakini unakuta mdada analipwa 10000 kwa siku ila Ana survive kinyama kuliko wewe anakuwa na vitu vingi, perfume, mazagazaga kibao..
Simple, nidham ya hela wenzetu hawa wana nidham mpaka sometimes wanaonekana wabahili. kwa wanaume its another story
 
Unakuta mnafanya kazi wewe Mwanaume unalipwa 20000 kwa siku ila unayumba balaa mikopo unayo na bado hazitoshi kabisa hata boxer tu au sendo kununua inakuwa kipengele lakini unakuta mdada analipwa 10000 kwa siku ila Ana survive kinyama kuliko wewe anakuwa na vitu vingi, perfume, mazagazaga kibao..
Kiasili Mwanamke mpokeaji, Mwanaume mtafutaji na mtoaji.Husijilinganishe na mwanamke na hela ya mwanamke mtoto wa kiume hutakiwi kuipigia hesabu, labda akupe yeye akiamua.
 
Back
Top Bottom