ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Simple, nidham ya hela wenzetu hawa wana nidham mpaka sometimes wanaonekana wabahili. kwa wanaume its another storyUnakuta mnafanya kazi wewe Mwanaume unalipwa 20000 kwa siku ila unayumba balaa mikopo unayo na bado hazitoshi kabisa hata boxer tu au sendo kununua inakuwa kipengele lakini unakuta mdada analipwa 10000 kwa siku ila Ana survive kinyama kuliko wewe anakuwa na vitu vingi, perfume, mazagazaga kibao..
Mazee, tumwambie ukweli huyu au tumwache tu?
Kiasili Mwanamke mpokeaji, Mwanaume mtafutaji na mtoaji.Husijilinganishe na mwanamke na hela ya mwanamke mtoto wa kiume hutakiwi kuipigia hesabu, labda akupe yeye akiamua.Unakuta mnafanya kazi wewe Mwanaume unalipwa 20000 kwa siku ila unayumba balaa mikopo unayo na bado hazitoshi kabisa hata boxer tu au sendo kununua inakuwa kipengele lakini unakuta mdada analipwa 10000 kwa siku ila Ana survive kinyama kuliko wewe anakuwa na vitu vingi, perfume, mazagazaga kibao..
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wana njia nyingi za kujipatia kipato...Period!
Ukitaka kuzijua utajitaftia mabalaa maana demu ana kipato cha elfu 10 kwa siku ila anacheza vikoba vya elfu 50!
Parasitic Organisims feed on other animals skin and bodies! πππKwasababu sisi ni parasite
Kumbuka kuua ni kosa huyu akijua ukweli atakufaMazee, tumwambie ukweli huyu au tumwache tu?