Kwanini wanawake wengi hawana huruma?

Kwanini wanawake wengi hawana huruma?

Ndo maana mimi sisali kuna unafiki mwingi sana makanisani
 
Mkuu mbona hiyo kawaida.
Mimi niliambiwa niape kwa mizimu ya kwetu kijijini huko mzungupwandele.
Lakini mama p akakataa kunipa katakata.

Siku nyingine nikimuomba anasema "nchi ipo kwenye korona wewe unawaza kunyanduana?"

Mbaya kuliko yote ni pale siku moja alipodai hataki kunanii popote ila twende tukananii kwenye daladala..!
Sasa lilivyo na watu wengi vile jamani.

Naombeni ushauri
 
Unafurahi sio? Sio mbaya, shida ni kuwa hatutaki kusikia kelele tena za kulia lia kwenu mkitendwa na wanaume.
Siku hizi vilio tumewaachia wanaume, nakupa assignment leo hapa Mmu fatilia nyuzi 5 tu za wanaolia halafu uone kama utaona ya mwanamke.
 
Ukatili ni mtu kuwa na maamuzi na mwili wake?

We nae,
 
Habarini! Nilipokuwa JKT sehemu fulani, siku moja msichana mlokole na anayesema anamjua Mungu alikuwa akipiga stori na mwenzake.

Katika stori akasema kwa kujisifia kuwa ameshawahi kuumiza vibaya moyo wa mwanaume wake aliyekuwa akimpenda sana, akasema kuwa mpaka mama wa mwanaume alikuwa akifahamu uhusiano wao.
Nitajie jina lake hata Kwa inbox inawezekana namfahamu vizuri tuu. Kwahiyo naomba unitajie
 
Sasa hapo ukatili wa huyo binti uko wapi.

Rekebisha hapo sema binti alikua anacheka na wenzie upumbavu wa hilo jamaa lililotaka kujiua kisa mbususu.

Na kipindi kile video zilikua wazi kabisa, ingekua kipindi hiki mabaaria tungemhurumia kidogo sana kama angejitetea kua hana connection angepata wapi pilau la kurahisisha zoezi. Lah sivyo uyo jamaa ni mbulula na demu ni mafia na ni wife material mwenye misimamo mikali.
 
Siku hizi vilio tumewaachia wanaume, nakupa assignment leo hapa Mmu fatilia nyuzi 5 tu za wanaolia halafu uone kama utaona ya mwanamke.
Wanalia sana tu na tunawaona mitaani, ila si wepesi kuleta humu, kwani wana aibu sana na wanajishtukia shtukia!
 
Back
Top Bottom