Enock gabriel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2021
- 348
- 321
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wait, yatakukuta na utalia mpaka kamasi. Muda utaongea!Sasa hapo ukatili ni kumnyima sex au kukubali vocha? Hakuna ukatili hapo.
Just wait!Upumbavu. Grow up to be a man.
Sisubiri upumbavu wa kuendekeza mapenzi. Huo udhaifu haunihusu.Just wait!
Hahah! umekazaSisubiri upumbavu wa kuendekeza mapenzi. Huo udhaifu haunihusu.
Vijana wamekua weak sana ndugu yangu. Wanaruhusu hisia ziwapelekeshe kuliko hata mabinti.Hahah! umekaza
Unafurahi sio? Sio mbaya, shida ni kuwa hatutaki kusikia kelele tena za kulia lia kwenu mkitendwa na wanaume.Ndio tulivoumbwa
Siku hizi vilio tumewaachia wanaume, nakupa assignment leo hapa Mmu fatilia nyuzi 5 tu za wanaolia halafu uone kama utaona ya mwanamke.Unafurahi sio? Sio mbaya, shida ni kuwa hatutaki kusikia kelele tena za kulia lia kwenu mkitendwa na wanaume.
Nitajie jina lake hata Kwa inbox inawezekana namfahamu vizuri tuu. Kwahiyo naomba unitajieHabarini! Nilipokuwa JKT sehemu fulani, siku moja msichana mlokole na anayesema anamjua Mungu alikuwa akipiga stori na mwenzake.
Katika stori akasema kwa kujisifia kuwa ameshawahi kuumiza vibaya moyo wa mwanaume wake aliyekuwa akimpenda sana, akasema kuwa mpaka mama wa mwanaume alikuwa akifahamu uhusiano wao.
Wanalia sana tu na tunawaona mitaani, ila si wepesi kuleta humu, kwani wana aibu sana na wanajishtukia shtukia!Siku hizi vilio tumewaachia wanaume, nakupa assignment leo hapa Mmu fatilia nyuzi 5 tu za wanaolia halafu uone kama utaona ya mwanamke.