Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

Huenda wanawake wengi ni watata sana.

Wenye hekima walisema "Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na

mwanamke mgomvi." Mithali 21:9.


Sasa vijana waowaji wakiona wakiona dalili hizo wanaingia mitini. Kwani kuishi kwenye pembe ya dari si kazi ndogo.

Joasi
 
Last edited by a moderator:
Unamtongoza demu leo kesho unapigwa mzinga wa laki mbili. utaoa kweli hapo?
Unampenda demu unageuka kuwa mtaji wake na familia yake. mara sina hela ya kula, mara hela ya chakula nyumbani, mara matatizo ya mama, mdogo wangu n.k. hapo hujaoa bado lazima utafute mlango wa kutokea.
Nywele kila wiki elfu 50, cm ya 1.5m abadilishe baada ya miezi 6, nguo, viatu, mikoba,vipodozi bajeti laki5 every month hapo bado matanuzi mengine sijaongelea gari wala nini na mimi salary yangu TGS D. Lazima nisepe.
Una mtoto mkali na umempenda kweli mwisho wa siku unakuta kuna wenzio 7. Nyote mnapewa papuchi. Lazima ukimbie.

Nina kisa kimoja nimewahi kukutana na demu mmoja hivi alikuja ofisini kwetu. Kwakweli alikuwa mzuri sana na mimi nilitokea kumpenda sana huku nikiamini kama mke basi ndo huyu. Akaniachia namba yake ya simu na mimi bila kupoteza muda nikaanza kumtongoza. mwanzoni alikuwa mkali sana akijifanya hanikumbuki kama tumewahi kukutana ama amewahi kunipa namba yake ya simu, alikuwa ananitolea majibu makali ya kukatisha tamaa na sometime hapokei simu wala hajibu msg na akipokea simu tunaongea kidogo anakata na ndo hapokei tena. Alinitesa sana aisee kama wiki mbili hivi. Siku moja bila kutarajia akanipigia simu tukaongea vizuri nilifurahi sana na nikaomba tukutane mlimani city tuongee. Unajua nini alichonijibu? basi ni hiki "Wewe una sh. ngapi tukutane?" Nikawa kama sijamwelewa. Nikamuuliza kwani niandae sh. ngapi? chochote utakachotaka utapata usijali. akaniuliza tena "una sh. ngapi tukutane?" Nikabaki sielewi nini cha kumjibu akanikatia simu. Ikabidi nimpigie nikamuuliza unamaanisha hela ya kwenda kuspend? au una shida yoyote? au unamaanisha mambo ya sexx? akajibu hivyo hivyo unavyoelewa na akakata simu. Na mimi akili kumkichwa nikamtumia msg nina laki moja fasta akajibu nije wapi. nikamwambia njoo Kagame hotel nyuma ya stand ya mkoa. Nikiwa siamini mtoto akatia timu nikamgegeda vitatu fasta nikampa kilo yake akatimua nikawa kila nikimhitaji napiga nampa chake anatimua ila bei ikawa inapungua ilifikia hadi kwenye 20,000/=. Na baadae nikamchoka nikaachana nae. Ila nilibaki na maswali mengi kichwani hivi mdada mzuri kama huyu unatokea mtu unampenda na una nia ya kumuoa ila anakuonyesha wazi yuko kimaslahi na anachofanya ni biashara tu...duh! inasikitisha make nilichopata sicho nilichokitarajia.
 
Wengi wao hawapo serious kwa watu walionao kana kwamba wanadanki danki mwisho wa siku wakija kushtuka muda unakuwa umeenda na wajomba wote wameshaingia mitini.
 
Wanaume wengi hatunaga haraka ya kuoa ukicompare na wanawake, mf mschan wa 13 yrs anatak ndoa.
wakat sis ndo age ya kubarehe.

Pia weng wao wanakimbiliaga ndoa kam fasheni au mkomboz wa maisha.

Wanaum hmn hyo, so kuna kuwa na rate kubwa ya wanaotak kuolewa ( demand is higher than supply)
 
Sababu nzuri zimetolewa naomba kuongeza kuwa uchumi wa kipesa (money economy) na uelewa wa maisha ya ndoa kama sababu nyingine.

Nianze na hili la uchumi wa kipesa. wanawake wengi siku hizi wanatamaa sana yapesa kiasi ya kukatisha tamaa waume wengi wanaotaka kuoa. Wengine hawaonyeshi tabia ya kuwa waangalifu wazuri wapesa yani hata wakipata pesa wanashindwa kuweka vipa umbele sasa wanaume wanaona hata wakioa itaweletea shida.

Wanaume wengi wana amini kuwa wanawake wengi sio waaminifu katika ndoa. Unajua hata wanaume sio waaminifu ila ikitokea kwa mwanamke jamii inaona kuwa ni tatizo kubwa sana. Hi inahitaji uelewa na uvumilivu kwa wanaume jambo ambalo ni gumu. Unakuta kijana anasema " aisee wanawake wanaliwa kishenzi, mi sioi"
 
Hizo harusi za kila cku..hamzioni jamani? Kumbi za harusi cku hizi kupata ni shida. Ndoa nyingi tu hazina sherehe watu wanachukuana tu. So wanawake wanaolewa bwana. Hao wanaolalamika hawaolewi wana matatizo yao binafsi
 
1. Wanachagua wanaume
2. Wanahitaji maisha ya hali ya juu
 
Kiburi,dharu,ubabe na kupenda kuishi maisha ya kwenye movie ndio sababu tunachungulia na kusepa
 

nimekuelewa kwa kupitia signature yako.....
 

Kuolewa Sio Lazima ila inaongeza Heshima. KUWA NA MUME KUNA HADHI YAKE.
 
Utofauti wa dini, itikadi za vyama/ mkeleketwa, wanawake wa mjini kujifanya wajuaji sana, utofauti wa fikra. Weng wetu tunapenda wanawake kwa uzur wa sura zao, ukianza mahusiano utagundua mbeleni kuwa ana tabia mbaya nying kuzidi za mwanaume
 

Hao uliokuwa nao walitoa sababu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…