mnhhh!!?
dah! Maneno mazito sana hayaBora ukutane na laana ya shetani utakimbilia kwa Mungu.
Ila ukikutana na laana ya Mungu sijui utakimbilia wapi!?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji849][emoji849]kama mwaka huu wanafunzi wanatoa sana iyo huduma ya 071 kuofia mimba
Kuna mdada amenunuliwa Nadia kwa sababu ya kutoa tigo, kwa mwendo huo ako kamchezo hakataisha!
Ila si tabia njema hasa kwa wanaotarajia kupata watoto kwa mwanamke ni kijambo kwa kwenda mbele wakati wa kuzaa wakati kwa mwaname ni aibu bse uume ulioutumia kwenye tigo ndo wataka zalisha mtoto kwa kutumia uume huo huo na huyo mtoto akiwa bazazi utalaumu si ni mtoto wa tigo.
LAAAAAAAAAAANA
Haya mambo ya ndani huwa mnayapata vipi?Kuna mdada amenunuliwa Nadia kwa sababu ya kutoa tigo, kwa mwendo huo ako kamchezo hakataisha!
Ila si tabia njema hasa kwa wanaotarajia kupata watoto kwa mwanamke ni kijambo kwa kwenda mbele wakati wa kuzaa wakati kwa mwaname ni aibu bse uume ulioutumia kwenye tigo ndo wataka zalisha mtoto kwa kutumia uume huo huo na huyo mtoto akiwa bazazi utalaumu si ni mtoto wa tigo.
LAAAAAAAAAAANA
Halafu kile kiharufu cha huko, jichoni,,,,ukikizoea unakuwa kama teja,,sometimes hata kuigusa tu na kidole . ,kuongezea charge kwenye battery...Tuseme ukweli tu, ndogo ni tamu jamani. Acha kabisa...
Kweli mkuu,,kuna siku ,,,ulizuka ugomvi mkubwa usiku wa manane,,,mpangaji na mkewe,, ikabidi watu wagonge mlango kuulizia kulikoni,,,jamaa yule akafungua mlango watu wakauliza sababu ya zogo lile usiku wa manane,,,jamaa akajibu huyu mwanamke mkorofi sana,,,kuchukuwa mto wangu..basi mzee akaona isiwe taabu akaleta mito miwili akampa jamaa,,yule jamaa akasema yeye anahitaji mto wake ule ule aliouchukuwa mkewe,, duu ,,hapo kila mtu akajiendea kulala,,,lakini kadiri muda unavyosogea ndy ugomvi ulikuwa unakwisha,,mwishowe ikawa inasikika miguno ya mahaba,,asubuhi ikaja kugundulika kumbe jamaa alikuwa anataka jicho ...Haya mambo yanafanyika sana ndani ya ndoa za watu
Kuna kisa kimoja jamaa anampenda sana mke wake ila ikawa ugomvi pale mke wake anapo taka jamaa amle ndogo. Yaani mwanamke ndo anataka hayo mambo. Walafikishana hadi kwa wazee kabisa. Lakini cha kushangaza mpaka sasa ndoa yao bado ipo na wanandoa wazuri tu. Hayo unayo waza [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuwaachie wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nimekuelewa sanaChanzo ni mwanaume, akibadilika huyu kiumbe hakutakuwa na huu upuuzi.
Nimeshuhudia mara kadhaa jamaa anambembeleza demu kwa ahadi kede kede ya vitu vya thamani, kwa miezi kadhaa mpaka maskini yule dada akaingia mkenge halafu yule jamaa akaja kutamba kijiweni eti amekata utepe leo. Na naskia siku hizi magari mengi wanayoendesha akina dada ni zawadi baada ya kutoa tigo.
Inasikitisha rafiki yangu wa karibu aliwahi kuwa na uhusiano na mwanafunzi mmoja wa frm six ambaye kwa status ya wazazi wake usingetegemea awe anafanya mambo km hayo, lkn jamaa kila mechi jamaa alipata lawama kuwa hamfikishi, siku akamtolea uvivu akamkalisha akamuuliza nifanye nini nikufikishe. Alichojibiwa hakuamini, chanzo ni mme wa mtu aliyekua naye yule mwanafunzi miaka miwili kabla aliyemlaghai kwa kumfungulia account nmb na kumwekea laki tano kwa ajili ya kumlaghai mtoto atoe jicho, so yakawa mazoea