Kwanini Wanawake wengi wa Kitanzania siku hizi ni Wavivu mno kunyoa Nywele zao za Sirini?


Kwa povu lako hili la ' Kutukuka ' kabisa inaonyesha na Wewe huko ' Kunako ' Kwako kuna ' Hifadhi ' ya kutosha tu ya Pori Tengefu ( Vuzi )
 

Kafyeke kwanza huo ' mpori ' wako huko ' Kunako ' kisha urudi tena humu sawa?
 
GENTAMYCINE kweli umewaamulia hawa dada zetu. Endelea kusubiria povu tu

Jana niliahidi kuwa leo nitaliamsha dude kwa Wadada / Wanawake wa JF na nimeshatimiza ahadi yangu. Na bahati nzuri nimelenga mule mule na ukiona kuna Mtu humu ananijibu kwa ' mapovu ' basi jua tu kuwa huyo hapo hapo alipo sasa anamiliki Pori Tengefu la ' Unywele / Vuzi ' hivyo ' Sindano ' imewaingia kisawasawa.
 
Kwani hapo nyumbani kwako huishi na Dada yako umuulize kwann hanyoi? Kama yupo mbali mpigie hata simu umuulize basi yeye atakupa majibu mazuri zaidi badala ya kutuuliza Dada zako wa JF

Naona ' Sindano ' imewaingia kisawasawa. Nyoeni bhana hizo ' Nywele ' zenu za ' Sirini ' kwani huwa mnatujeruhi nazo mno pale tukiwa ' tunawabandueni ' kwani zingine huwa nguma kama ' stiri waya '.
 
Nyumba "maua" babu weee

Kwahiyo ' Vuzi ' jingi ' Kunako ' ndiyo maua yenyewe hayo Dada? Kwa majibu yako haya tu unaonekana ni ' Mchafu ' uliyetukuka.
 
Sijawahi kusikia papuchi yng ikinuka

Acha ' Umbwigira / Ushamba ' Wewe. Anayejua Kiwango chako cha harufu mbaya ya ' Mbunye ' ni yule ' anayekubandua ' na Wewe huwezi kujijua 100%. au mwenzetu huwa ' unajibandua ' mwenyewe?
 
Acha ' Umbwigira / Ushamba ' Wewe. Anayejua Kiwango chako cha harufu mbaya ya ' Mbunye ' ni yule ' anayekubandua ' na Wewe huwezi kujijua 100%. au mwenzetu huwa ' unajibandua ' mwenyewe?
Bora umemwambia,anaywjua kama papuchi yake inanuka ni yule au wale wanaomgegeda na siyo yeye...[emoji1] [emoji1]
 
Mpka naandika huu ujumbe sijaona like hata moja kwa mtoa mada

Jua ' Dozi ' imeingia vizuri sana mahala pake. Kama ukitaka pia kuangalia idadi ya ' likes ' zangu unaweza tu ukatupia jicho lako ' Kiumakini ' sana hapo juu ambapo kuna ID yangu hii ' brand ' kisha hesabu zipo ngapi halafu kama hutojali nakuomba ufafanishe na za Kwako halafu unipe jibu.

Ndiyo maana hata ' Signature ' yangu inakujibu vizuri tu kuwa ' I am talented and charimastic '.
 
Naiona ajira kwako niajri niwe kinyozi wako
 
najua bro ila upo speed

Leo ndiyo mwisho kwani najua ' nimeshawanyoosha ' vya kutosha hivyo ni ' matumaini ' yangu makubwa kwa ile ' dozi ' mujarab kabisa ya jana ukiongeza na hii ' Kali ' kuliko ya leo basi kuanzia sasa Mabinti / Wanawake wote wa JF mtabadilika na pia mtawabadilisha na wenzenu huko ' mitaani ' mwenu mnapoishi nao. Nikiona bado hambadiliki basi nitakuja tena humu na ' dozi ' zenu zingine hadi mniombe ' po '.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…