Wakuu heshima kwenu
Katika mizunguko yangu nimekuwa nikienda vijijini mara kwa mara lakini karibu Wanawake wote (pengine wote) wa vijijini si wazuri wa sura wala maumbo (mfano vitambi vingi sana kwa Wanawake wa vijijini)
Kwahiyo wakuu naomba kujuzwa kama kuna sababu yoyote ya kisayansi au Kijamii kuhusiana na hali hii
Natanguliza shukrani kwa majibu yenu mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
washazoea kulima kua limewapiga sana ila wakija mjini wanakua wazuri ndo ujue kua mjini kutamu
Ugumu wa maisha, kazi ngumu plus kujifungua kwa kufululiza bila matunzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehetehe...... Hili nalo neno, vipi vitambi vile ni utapiamlo aumaji ndugu yangu
sasa mtu anaoga maji yenye rangi ya maziwa atang'aa vipi ??
Naongezea hapo... Wengi wao hawana chura, pia wana sura za baba zao wa kamboWakuu heshima kwenu
Katika mizunguko yangu nimekuwa nikienda vijijini mara kwa mara lakini karibu Wanawake wote (pengine wote) wa vijijini si wazuri wa sura wala maumbo (mfano vitambi vingi sana kwa Wanawake wa vijijini)
Kwahiyo wakuu naomba kujuzwa kama kuna sababu yoyote ya kisayansi au Kijamii kuhusiana na hali hii
Natanguliza shukrani kwa majibu yenu mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaona wewe...vicus kuna vitu vitamu balaa..sem si vingi sana kutokana na vyuma kukaza..vyuma vya kijijini si mchezoWakuu heshima kwenu
Katika mizunguko yangu nimekuwa nikienda vijijini mara kwa mara lakini karibu Wanawake wote (pengine wote) wa vijijini si wazuri wa sura wala maumbo (mfano vitambi vingi sana kwa Wanawake wa vijijini)
Kwahiyo wakuu naomba kujuzwa kama kuna sababu yoyote ya kisayansi au Kijamii kuhusiana na hali hii
Natanguliza shukrani kwa majibu yenu mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa vijijini ndo wazalishaji wakubwa huku wanaume wakisubiri kufanyiwa yote aisee, wanawake wa vijijini ni mashujaaKabisa
Ugumu wa maisha, kazi ngumu plus kujifungua kwa kufululiza bila matunzo
Sent using Jamii Forums mobile app
my Cariha againWanawake wa vijijini ndo wazalishaji wakubwa huku wanaume wakisubiri kufanyiwa yote aisee, wanawake wa vijijini ni mashujaa
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ni mwanamke, unawaponda wa kijijini kupandisha profile yenu wa mjini.Naongezea hapo... Wengi wao hawana chura, pia wana sura za baba zao wa kambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya yote naomba uwatake radhi wasichana wanaoishi vijijini,Wakuu heshima kwenu
Katika mizunguko yangu nimekuwa nikienda vijijini mara kwa mara lakini karibu Wanawake wote (pengine wote) wa vijijini si wazuri wa sura wala maumbo (mfano vitambi vingi sana kwa Wanawake wa vijijini)
Kwahiyo wakuu naomba kujuzwa kama kuna sababu yoyote ya kisayansi au Kijamii kuhusiana na hali hii
Natanguliza shukrani kwa majibu yenu mazuri.
Sent using Jamii Forums mobile app