ungekuwa unamssaidia japo jukumu moja afta toka job do u thk angekuwa badop bze?
we ukirud kazin mguu juuuuuuuuuuuu na magazet yote dunian yeye apke,amchek mtoto afanye nini sjui ..wat if ungekuwa beside her unashka iki na iki unazan lugha ya yuko bze ingekwepo?manake mpo wote kwenye pilka za home ....
wanapashwa kuchukua madarasa ya ndoa---nchi nyingine wana mpango mzuri ya kum update mtu....... ukipewa ticket kwa makosa ya barabarani -darasa----divorce ------darasa na mengine mengi yanakumbusha wajibu wako katika jamiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.