ungekuwa unamssaidia japo jukumu moja afta toka job do u thk angekuwa badop bze?
we ukirud kazin mguu juuuuuuuuuuuu na magazet yote dunian yeye apke,amchek mtoto afanye nini sjui ..wat if ungekuwa beside her unashka iki na iki unazan lugha ya yuko bze ingekwepo?manake mpo wote kwenye pilka za home ....
saidia mkeo kupunguza majukumu then utaona....