Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Umeshawahi angalia tv za makanisan
Ama ushawahi KWENDA makanisa ya kilokole NKAONA mapepo yanavyowatesa wanawake
Binafsi niliiwahi KWENDA kawe na bado naenda kawe na makanisa mengine ya kilokole depends na kazi za siku hio na ukarobu WA Kanisa lillipo karibu
Ukweli wakati WA maombezi nilijichanganya kukaa KATIKATI ya wanawake wawili wameshiba vibaya sana
Maombi yakiendeleaaa WA kushotoo al8nianzishia moto rusha ngumi rusha WA kulia doh noakimbia kuangalia nyuma anasukuma wale walinzi MMOJA BAADA ya mwingine sikukoma
NXTY Sunday nkasahau maana nilisema nitakuwa nakaa PEMBEN mwanaume kila Kona
Loh kulia NKAWA na mwanaume PEMBEN mdada wakati WA maombi aisee huyu alinipa sio ngumii ndonga mpendwa mdomo ulivimba
Toka sikuile nikienda Kanisa LOLOTE la kilokole lazima nikae PEMBEN na wanaume wenzangu
YAAN ukiangalia wanaopelekwa MBELE wapendwa n wanawake mabinti na wengine watoto WA shule kabisaaaa
WAPENDWA nawambiaa ndoa nyingi zimeteswa na mapepo yanayowaingia madada wetu
Nakushauriii wewe eunaeteseka na ndoa na mahusiano nenda kwenye makanisa ya kilokole utapata uponyaji wapendwa
Usiwavhukulie hasora Moja kwa Moja wengi na mengi wanayofanya sio waooo wapendwa n mapepo majini yanawakimbiza
Shetani ashindwe ktk Jina la Yesu
Ama ushawahi KWENDA makanisa ya kilokole NKAONA mapepo yanavyowatesa wanawake
Binafsi niliiwahi KWENDA kawe na bado naenda kawe na makanisa mengine ya kilokole depends na kazi za siku hio na ukarobu WA Kanisa lillipo karibu
Ukweli wakati WA maombezi nilijichanganya kukaa KATIKATI ya wanawake wawili wameshiba vibaya sana
Maombi yakiendeleaaa WA kushotoo al8nianzishia moto rusha ngumi rusha WA kulia doh noakimbia kuangalia nyuma anasukuma wale walinzi MMOJA BAADA ya mwingine sikukoma
NXTY Sunday nkasahau maana nilisema nitakuwa nakaa PEMBEN mwanaume kila Kona
Loh kulia NKAWA na mwanaume PEMBEN mdada wakati WA maombi aisee huyu alinipa sio ngumii ndonga mpendwa mdomo ulivimba
Toka sikuile nikienda Kanisa LOLOTE la kilokole lazima nikae PEMBEN na wanaume wenzangu
YAAN ukiangalia wanaopelekwa MBELE wapendwa n wanawake mabinti na wengine watoto WA shule kabisaaaa
WAPENDWA nawambiaa ndoa nyingi zimeteswa na mapepo yanayowaingia madada wetu
Nakushauriii wewe eunaeteseka na ndoa na mahusiano nenda kwenye makanisa ya kilokole utapata uponyaji wapendwa
Usiwavhukulie hasora Moja kwa Moja wengi na mengi wanayofanya sio waooo wapendwa n mapepo majini yanawakimbiza
Shetani ashindwe ktk Jina la Yesu