Kwanini wanawake wengi wana mapepo na ndio wanaongoza kuharibu ndoa zao?

Kwanini wanawake wengi wana mapepo na ndio wanaongoza kuharibu ndoa zao?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Umeshawahi angalia tv za makanisan

Ama ushawahi KWENDA makanisa ya kilokole NKAONA mapepo yanavyowatesa wanawake

Binafsi niliiwahi KWENDA kawe na bado naenda kawe na makanisa mengine ya kilokole depends na kazi za siku hio na ukarobu WA Kanisa lillipo karibu

Ukweli wakati WA maombezi nilijichanganya kukaa KATIKATI ya wanawake wawili wameshiba vibaya sana

Maombi yakiendeleaaa WA kushotoo al8nianzishia moto rusha ngumi rusha WA kulia doh noakimbia kuangalia nyuma anasukuma wale walinzi MMOJA BAADA ya mwingine sikukoma

NXTY Sunday nkasahau maana nilisema nitakuwa nakaa PEMBEN mwanaume kila Kona

Loh kulia NKAWA na mwanaume PEMBEN mdada wakati WA maombi aisee huyu alinipa sio ngumii ndonga mpendwa mdomo ulivimba

Toka sikuile nikienda Kanisa LOLOTE la kilokole lazima nikae PEMBEN na wanaume wenzangu

YAAN ukiangalia wanaopelekwa MBELE wapendwa n wanawake mabinti na wengine watoto WA shule kabisaaaa

WAPENDWA nawambiaa ndoa nyingi zimeteswa na mapepo yanayowaingia madada wetu

Nakushauriii wewe eunaeteseka na ndoa na mahusiano nenda kwenye makanisa ya kilokole utapata uponyaji wapendwa

Usiwavhukulie hasora Moja kwa Moja wengi na mengi wanayofanya sio waooo wapendwa n mapepo majini yanawakimbiza

Shetani ashindwe ktk Jina la Yesu
 
HATA wale mnaolalamika wake zenu HAWATAKI kuwapa unyumba ati mkiwasukumia moto wanaskia maumivu sio waooo Wana majini marhaba wapendwa wawahi wayatoee else utaishia kuwa Malaya unakufa na ukimwi na watoto wakiteseka
 
Mwanamke anaweza pita mbele ya halaiki ya watu ama mkutano wa chama akiwa mtupu bila nguooo

Siku inayofuata akapita amevaaa vazi la kipekee na mkatoka na kumpongeza amependezaaa sanaaa ..... wadada wenzie wakaangalia mshono wa vazi nao wanataka wakashone wapendezeee

akipita mwanaume mbele ya halaiki mtupuuu .... ataambiwa nati zishalegea kichwani ama nyuzi zishaanza katikaaa

Tujali afya ya akiliiii
 
Nannyie WAPIGA picha WA video makanisani NAWAASA mkomee kuwazalilisha Hawa madada zetu

Wengine mnaonanwana mapaja meupe na skinty ndani wanazunguka huku nguo ikifunuka mnaanza kuwapeleka video zenu kule sisi WA TV tufanyaje tuziamshe ama

EMBU wasitirini pls wale awajapenda kuonesha maungo yao n mapepo

Wewe unaesoma na unahusika na Kanisa la kilokole waambie haya tumechoka kuangalia mapaja

Na nyie madada mlioprwa vitambaa na khanga kuwafunika wenye mapepo kutunxa viuongo vyao nawaonya hizo sio mike Wala beer uuseeme umeshikilia mpaka wakukulipia beer aje

Pls nawaomba muwasitiri hao madada kuanzia leoooo...wapo madada wanaaibika kabisa huku mmekaa PEMBEN ya nguzo za makanisa kama mbasubiria Mwaka mpya mpige cheers sipendi

Mbadilike
 
Mwanamke kwa asili ni pepo. Sasa akikutana na mapepo menzie ni balaa
100 perc mkuu

Nenda kila asbh angalia jukwaa la mapenzi YAAN kama sio wawili watatu mpaka saa NNE washawasilisha yaliowakuta kwenye ndoa ZAO ama GFriend zao n shidaa
 
Hahahaha hapo kweny ndoga mim ningevua shart tukazicha konde na mapepo.

Anyway...
Wanawake asilimia kubwa wanapoingia hedhi, kiroho marango yao huwa wazi ndo maana pepo huwaingia kirahs.
 
Mi mke wangu Mwaka juzi alianzaa kubadilika tukiwa mchana nyumban ukitaka penzi anakwambia sijisikii nasikia jotoo NKASEMA si KUNA feni

Aisee niliteseka nkaenda nae maombi sikumoja nkashangaa anafuraa uso UMEVIMBA kama kapigwa ndonga gaflaa akalianzisha sitokii sitokii tumemuoaa huyuu nyie mtakufaaaa mnanijua mm aisee nilisogeea mbali nkaanza kuombaaa mfe nyie ktkt Jina la Yesu YAAN waliomshika walipelrkewa moto kama nilibyopelekewa

Ilinichukua mwezi nahangaika mapenzi mchana hataki kabisa na usiku gizan hataki mwanga doh

Mwishoo nkaonana na Mch MMOJA nkamweleza akasema jini marhaba huyu YAAN Ile mikwara ntakuua ULIKUWA unapewa wewe NKAMWAMBIA ndio maana nkakaa mbali nilishapigwa ndonga ndani ya hili Kanisa

Akanipa MAANDIKO YAAN sikuhizi akiwa haendi kazini mchana anaomba game yeye uliza sasa na mm wakati mwingine namuanzishia nimechokaa asikie na yeyee uchungu

Nkaenda kama wiki NNE Tena ..nkamwonea huruma nkaanza kumpa

YAAN wanateseka snsana
 
YAAN kama KUNA Siri imejificha kwenye ndoa n kujua mwanamke mwenye mapepo

Hiooo tungefunuliwa wanaume kabla ya ndoaa NAKWAMBIA

Asilimia 500. Leo hii tungekuwa single na chama cha massingel WA kutosha kingeshasajailiwa
 
Mungu fundi sana alijuwa nikikujuza hiii huoiiii..huyu ana majini. Mapepoo ungechapa lapa

Ndio maana anawapa Neema mabinti ya kuakuonyesha miujiza kabla ya ndoa unaasema huyuu NDIE mke nilikuwa namtafuta

Bonyeza

Enter.............



Exit ilipo

Utaitafuta mwenyewe
 
Hahahaha hapo kweny ndoga mim ningevua shart tukazicha konde na mapepo.

Anyway...
Wanawake asilimia kubwa wanapoingia hedhi, kiroho marango yao huwa wazi ndo maana pepo huwaingia kirahs.
Mkuu m wangu aligeuka gafla Wala hakuwa kwenye prd

Kila ukimgusa mchana no don't feel it aisee....alinifanya nipende sana Malaya na kuona ndio walinda ndoa zetu
 
Mkuu m wangu aligeuka gafla Wala hakuwa kwenye prd

Kila ukimgusa mchana no don't feel it aisee....alinifanya nipende sana Malaya na kuona ndio walinda ndoa zetu
Simaanishi akiwa prd ndo anaweza badilka wakat huo.. Matokeo baadae. Wanahtaj ulinz kiroho na kimwil kuwaepusha na upepo mbaya
 
Back
Top Bottom