kwanini wanawake wenye umri mkubwa hupendelea vijana?

kwanini wanawake wenye umri mkubwa hupendelea vijana?

Kazi hamna, mjini pagumu,wee unadhani na elimu yako ya form four utaajiriwa na nani zaidi ya mijimama?
 
Na kwa nini wanaume wenye umri mkubwa (mafataki) hupendelea vijana wa kike?
 
ngono shupavu mdo mtaji... uvivu wa kufanya kazi ndo jadi yao!!
 
Tatizo kubwa Vijana wengi wanataka vitu vikubwa na hawana pesa!!Mama waumezao wapo busy na shughuli za biashara nakama sibiashara siasa nwao wanataka wadogodogo wakuwapetpet maana watoto wakikike wengi wazuri kama uonavyo mwezi!!!Shida huishia nyumbani baba akirudi kaisha malizwa analala kesho mama naye panawasha!!wakumaliza haja yake ninani??Kijana anatafutwa kesho anamuhadithia shoga yake naye anatafuta wakienda out na serengeti boys wao na serengeti wanaitana wanakaa mkao mmoja!!kesho mama nao wanamwita shoga yake njoo nimekupatia kijana wakukutoa*******Njoo kesho mahali fulani basi inakuwa biashara ukweli ni KWAMBA INASABABISHWA NA UGUMU WA MAISHA NA U BUSY WA MAISHA !!!:juggle:









 
Hivi hii ina ukweli au ni ndiyo ile waingereza wanaitea STEREOTYPE???????????????
 
Wanaume wengine wavivu wa kutafuta,wanaona bora na wao walelewe.
 
Back
Top Bottom