KAKA A TAIFA JF-Expert Member Joined Apr 27, 2011 Posts 566 Reaction score 82 Sep 9, 2011 #1 Siku hizi akina dada wengi wanafanya mambo ya kuigiza zaidi ya asilia,mfano kuwa na makalio(kigoda) ,matiti,hips,miguu ya kufyatua aka mchina .athari zake wanazijua au wanataka kumaliza madawa yetu mahosipitalini hapo siku zijazo?
Siku hizi akina dada wengi wanafanya mambo ya kuigiza zaidi ya asilia,mfano kuwa na makalio(kigoda) ,matiti,hips,miguu ya kufyatua aka mchina .athari zake wanazijua au wanataka kumaliza madawa yetu mahosipitalini hapo siku zijazo?
quimby_joey JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 390 Reaction score 165 Sep 9, 2011 #2 athari zake ni nini?