Kwanini wanazidisha?

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
82
Siku hizi akina dada wengi wanafanya mambo ya kuigiza zaidi ya asilia,mfano kuwa na makalio(kigoda) ,matiti,hips,miguu ya kufyatua aka mchina .athari zake wanazijua au wanataka kumaliza madawa yetu mahosipitalini hapo siku zijazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…