Kwanza kabisa unatakiwa kufahamu kuwa WAJIBU WA BINADAMU KIDINI si kama unavyochagua watu wa kuwa follow na kutowafollow Jamii forums, bali unatakiwa kufanya kila kilicho chema na kuachana na mabaya..
Sasa kama usanii tu hauruhusiwi kiislamu, kuna haja ya kuuliza unachouliza? Hakuna aliyehalalisha mahusiano yake kwa ndoa, japo ipo wazi wana wapenzi? Sasa huko kupost ndio kutawafanya wawe watakatifu?
Na wewe unaoshabikia mziki wao unatofauti ipi?
Nadhani tungekuwa na hofu ya Mungu, ni vyema tungewaasa waachana na Usanii, wabariki mahusiano yao, na mengine yafuate maana unapofunga bado upo na kimada, unabeef za kisanii za kutosha, unawapotosha watu na nyimbo zako, SIDHANI KAMA MAOMBI YATASIKIKA MTINDO HUU..