Mfungo wa ramadhani hauhitaji promo.. Huo ni mwezi uliotukuka, alafu unakosea sana kutaka kuwafanya wasanii wa kidunia wauoigie promo mwezi mtukufu!!!
Wabongo sijui akili zetu tumemuazima nani na sijui ataturudishia lini???
Ati mtu unalalamika kabisa kwanini wasanii hawaupigii promo mwezi ramadhani haahahahh