lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Kwani walikwambia wote wanataka kuolewa?
mkuu nazungumzia hawa walioolewa wakaachika na ambao umri unawataka wawe na ndoa zao
Umri unawataka wawe na ndoa?
What kinda bullshit is that...? Unadhani watu wote wanaishi kwa kutumia playbook moja?
Umri unawataka wawe na ndoa?
What kinda bullshit is that...? Unadhani watu wote wanaishi kwa kutumia playbook moja?
mkuu mbona unatoka na mapovu kwani wewe ni moja ya waathirika wa hii topic?
kwani wewe ya kwako ilivunjika ikiwa na umri gani?
Na wewe mbona unatokwa na ute? Nawe ni mwathirika wa hii mada?
mkuu ya kwangu ina miaka 9 sasa.na bado inapeta
mkuu ya kwangu ina miaka 9 sasa.na bado inapeta
Sikujua kama Jide hakufikisha miezi 6 kwenye ndoa
Please Revive this Spirit...! God is ready to intervene.
Judith Wambura & Gardner Habash
Huyu NN ni mtata kama nini .... yeye hoja zake ni ngumi mkononi , ustaarabu kwake ni nadra sana ....hiyo hongera kaitoa kwa kejeli kwa nina uhakika hajui kama wewe( lukelo sakafu ) ni mwanaume ama mwanamke. Hivyo hakutakiwa kutumia neno mumeo hapo.Oh basi hongera wewe na mumeo.
Huyu NN ni mtata kama nini .... yeye hoja zake ni ngumi mkononi , ustaarabu kwake ni nadra sana ....hiyo hongera kaitoa kwa kejeli kwa nina uhakika hajui kama wewe( lukelo sakafu ) ni mwanaume ama mwanamke. Hivyo hakutakiwa kutumia neno mumeo hapo.
Unajua wakati mwingine uzoefu wa maisha usipokuwa makini waweza kukufnya uonekane kuwa punguani hasa hasa maeneo ya watu waliostaarabika.Mpongeze mwenzio kwa kuitunza ndoa na mume.
Unajua wakati mwingine uzoefu wa maisha usipokuwa makini waweza kukufnya uonekane kuwa punguani hasa hasa maeneo ya watu waliostaarabika.
Katika JF ukikuta ID ni ya zamani mfano 2006 unatarajia kupata maoni yenye busara, maana inasemwa kuwa waliokuwepo wakati wa Jambo forum walikuwa wanashusha pweiti za kutosha za kuwa zindua watanzania kutoka fikra mgando kwa staha ya hali ya juu. Lakini inashangaza sana NN mbali na uzoefu wote huu wa kushiriki hapa JF (posts 49 961) bado anaendelea kubadilika kifikra kutoka mbaya kwenda mbaya sana hasa linapokuja suala la utumiaji wa lugha ya kiuungwana.
Ndiyo maana nasema uzoefu wa maisha ya maeneo fulani unaweza kukufanya uonekane punguani maeneo mengine. Eneo analoishi NN linaweza kuwa na mchango mkubwa kwenye kuharibu uwasilishaji wa kistaarabu wa hoja zake hapa JF.
We nawe hebu kwenda zako huko na haya mahubiri yako.....
Nimefurahi sana kwani ujumbe umekufikia sawia kiasi cha kuhangaika na JF rep.
Ebu ufanyie kazi basi huo ujumbe....anza kuleta hoja zako hapa JF kwa lugha ya kistaarabu.