Kwanini wasanii wetu siku hizi hutumia zaidi video models wa nje ya Tanzania?

Kwanini wasanii wetu siku hizi hutumia zaidi video models wa nje ya Tanzania?

Kidingi

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
1,872
Reaction score
1,832
Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper
ameamua kushare na followers wake wa
Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha,
kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video
models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa
hapa.

Hiki ndicho alichoandika Wolper;

?Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu
kimoja ?kuna madada zetu wengi hapa Tanzania
na wakaka wengi wazuri nawakivaa au
kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu?
lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia
hawa wanaofanya hvii?okay naanza hvii..ni
kwanini kaka/dada zetu wanamuziki siku hzi
wanaenda kuchukua ma queen/king video njee
ya Tanzania ni kwamba syo wakali kma wa nchi
nyingne? Au wameshuka soko au ndo ile unakuta
ma queen wetu wa vdio kutembea nakila msanii
anaemshirikisha katika vdio nakufikia kushuka
Thamani??

Au Tatizo ni nini haswa Maaana sahvi kila nyimbo
nitayoona au kuombwa kupost nakutana na sura
za ulaya ulaya paka nashindwa kupost kutokana
na najisikia vibaya ajira kupelekwa njee..au la me ndo mshamba labda wa Tz wanapenda kuona ngozi zanjee za hapa zimechuja?? Haya taratibu Tuchangie mada hapa bila kupiga kelele maana aliye madarakani kwa sasa nikishtaq tuu unafwata paka nyumbani haya twendee kazi.. na msisahau kutag wale wanaoenda kuchukua ma model njee.?
 
Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper
ameamua kushare na followers wake wa
Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha,
kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video
models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa
hapa.

Hiki ndicho alichoandika Wolper;

?Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu
kimoja ?kuna madada zetu wengi hapa Tanzania
na wakaka wengi wazuri nawakivaa au
kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu?
lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia
hawa wanaofanya hvii?okay naanza hvii..ni
kwanini kaka/dada zetu wanamuziki siku hzi
wanaenda kuchukua ma queen/king video njee
ya Tanzania ni kwamba syo wakali kma wa nchi
nyingne? Au wameshuka soko au ndo ile unakuta
ma queen wetu wa vdio kutembea nakila msanii
anaemshirikisha katika vdio nakufikia kushuka
Thamani??

Au Tatizo ni nini haswa Maaana sahvi kila nyimbo
nitayoona au kuombwa kupost nakutana na sura
za ulaya ulaya paka nashindwa kupost kutokana
na najisikia vibaya ajira kupelekwa njee..au la me ndo mshamba labda wa Tz wanapenda kuona ngozi zanjee za hapa zimechuja?? Haya taratibu Tuchangie mada hapa bila kupiga kelele maana aliye madarakani kwa sasa nikishtaq tuu unafwata paka nyumbani haya twendee kazi.. na msisahau kutag wale wanaoenda kuchukua ma model njee.?
 
Mwambie atume salam kwa watu watatu kisha achague wimbo.
 
Ukweli hapa tanzania hakuna ubunifu yani watu wengi ni macopy na paste za kufa ila nawasifu kwa kuuza sura.
 
wa tz hawajielewi , kazi yao kubwa ni kutumiwa na ccm.. nikiona video zina wabongo sinunui bora niangalie vikatuni
 
Kwa sababu tabia zenu ni chafu hamjiheshimu mnawaharibia kazi. Mfano wanjera
 
Alitegemea kupata kitu Chadema sasa wamemtupa anatafuta njia ya kuingiza kipato...kuna mabinti wengine nyie wa miaka mingi mmepitwa na wakati kwa hayo

Kama hamkujijenga kwenye mengine basi waanze mapema sasa
 
Alitegemea kupata kitu Chadema sasa wamemtupa anatafuta njia ya kuingiza kipato...kuna mabinti wengine nyie wa miaka mingi mmepitwa na wakati kwa hayo

Kama hamkujijenga kwenye mengine basi waanze mapema sasa

Jibu swali hayo ya chadema yametoka wapi
 
mavideo queen ndo hao wakina tunda wa young d? wakishapigwa tu madushelele na kulipwa vihela vya hizo video walizocheza basi wanajiona mastaa kumzidi Beyonce, kunywa mi pombe, kuvuta unga na machafu mengineyo
 
wanafanya hivyo kuliteka soko la nje coz kuwatumia hawa micharuko wa bongo huwezi kutoboa kimataifa
 
eti hata mi nashanGaa wanamuacha GIGY MONEY atupe raha wanaenda sauzi!
 
Ukichukua wa kibongo sura ndiyo itauzika. zaidi ya video
 
Haihitaji kuumizwa kichwa video ukienda kuifanyia nje ya nchi package unayoilipa, ina inclide kila kitu mpaka video queens sasa unaweza kumgharamia video queen kutoka Tanzania mpaka South Africa au Namibia hio si itakua biashara ya hasara? maana msingi mzima wa biashara ni kupunguza costs...
 
Back
Top Bottom