Kwanini washabiki wa madrid wanajiamini sana kwenye UEFA?

Wengi mmeanza kuifuatilia PSG baada ya Neymar kwenda Kule. Kabla ya hapo ilikuwa timu ya kawaida tu hata Anceloti kapita pale na kusepa. Rabiot na Pastore level za Modric na Kroos hawajafika. Cavan bado kwa CR7,Silva anakaa bench kwa Kimpembe,Marquinhos km Nacho tu. Kitimu,PSG wako vzur km Atletico Madrid labda,sio class ya Los Blancos
 
Mashabiki wanafuata kinachofanywa na timu. Lakini UCL hainogagi sana ukiikosa RMA si unajua mpira ni Biashara. So far so good nani kakudanganya kuwa RMA ni mbovu. Subiri uone La Liga itakavyonoga
 
Minaamini PSG leo ataibuka na ushindi
Mkuu yakupasa ujiangalie upya yaonesha kila unachoamini unakosea... isije kuwa na imani yako pia unayoiamini upo wrong side😀😀😀😀
 
Reactions: J60
Mkuu PSG wametuma barua ya Malalamiko UEFA why wanafungwa na Timu za Uhispania... Same kama yale malalamiko ya Tanzania Kupangiwa Misri kila Mara
Madrid ana kibarua kigumu sana Paris aisee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…