Chiblak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 662
- 921
Mambo vp,
Kwa wale wenzangu na mm tulioyakuta haya makanjanja yaliyokua yanasifika Dar es Salaam na Tanzania Kwa ujumla ma DCM. Aisee hapa nisiwe muongo haya mandinga yako slow kwenye kuchanganya ila yakishaiva ni moto wa kuotea mbali.. Ushawahi kupanda ya dizain ya chai maharage? Af sifa moja ya haya madude bodi zake ni very cheap yani likipiga chini likienda bodi likirudi ni brand new kama msoto wa awamu tuliyonayo ..Natamani kuyaona ma DCM kwenye muonekano sisi tuliosoma dar unaishi temeke shule mwenge tunaelewa habari yake
Kwa wale wenzangu na mm tulioyakuta haya makanjanja yaliyokua yanasifika Dar es Salaam na Tanzania Kwa ujumla ma DCM. Aisee hapa nisiwe muongo haya mandinga yako slow kwenye kuchanganya ila yakishaiva ni moto wa kuotea mbali.. Ushawahi kupanda ya dizain ya chai maharage? Af sifa moja ya haya madude bodi zake ni very cheap yani likipiga chini likienda bodi likirudi ni brand new kama msoto wa awamu tuliyonayo ..Natamani kuyaona ma DCM kwenye muonekano sisi tuliosoma dar unaishi temeke shule mwenge tunaelewa habari yake