Kwanini wasichana wa Kenya wanawapenda sana Watanzania?


Hahahaha, upepo wa kisulisuli umeshafika Kenya, wanajileta kwa kasi ya ajabu.
Mombasa vs Dar es Sluum inakutoa jasho ikabidi ujaribu kuhepa kwa kufungua nyuzi nyingi eti "ku-neutralise" lakini wapi? Bado tutachangia Hadi humu . Umeona aje dual carriageway za Mombasa kushinda za Dar? 😂
Our 2nd City is at par with your only City.
 
Pengine wanaume wa kenya(mashemeji) hawajiwezi vitandani.
Wanawake wanawapenda wanaume wajinga na walio na Mali. A Watanzania wanatosha kwa hio description.A fool and His money...malizia hiyo Kama hukuenda St.Kayumba 😉
 
Wanawake wanawapenda wanaume wajinga na walio na Mali. A Watanzania wanatosha kwa hio description.A fool and His money...malizia hiyo Kama hukuenda St.Kayumba [emoji6]

A fool with Money? Mzee kuwa serious,
You and I know Pesa ndio kila kitu,
Huwezi kujisifu una akili kama huna hela, Yaani Kama akili zako hazikusaidii kupata hela to me you are just a fool.
 
Sometimes wasanii siyo wa kuwaamini sana. Inawezakuwa imetengenezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…