Kwanini wasichana wa Kenya wanawapenda sana Watanzania?

jibu hoja hayo mengine cc hatuyajui
 
Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhh dah hii kauli yako ya ben pol kufugwa km pet imenimaliza
Heri wenye shobo kuliko wale wenu video zao huvuja...
Byda, km huna hela sahau mdada wa kenya..
Ama basi labda ukubali kufugwa km pet km vile ben pol
 

Hahahaha, upepo wa kisulisuli umeshafika Kenya, wanajileta kwa kasi ya ajabu.

Waschana Wakenya wamegundua kwamba yeyote akiwa superstar Bongo huwa hataki madem wa kibongo tena maanake wengi wao wako shallow and uneducated. Mastar wa bongo hutafuta mademu wa Kikenya sana ndio wawachanue yaani, our women give bongo superstars the class that bongo gir;s can never meet. Ndio maana warembo wa Kikenya huchukua advantage. Lakini hutampata mrembo wa Kikenya akimfuata boya fulani kwa jina Joto la Jiwe...........
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…