Kwanini Wasiria wanashangilia kushambuliwa kwa Hezbollah?

Kwanini Wasiria wanashangilia kushambuliwa kwa Hezbollah?

Assad ambaye ni mshirika mkuu wa Hezbollah hapendwi Syria. Yuko madarakani kwa hisani ya Iran na Putin 🤔
 
Wapinzani wa Assad hawaungi mkono hezbollah kuingilia siasa zao ndani ya Syria.
 
Back
Top Bottom