MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Ni dhahiri kabisa hapa Tz kuna ongezeko kubwa sana la taasisi za elimu za taaluma mbalimbali sambamba na ongezeko la wahitimu, Je, tunakosea wapi? Hatuzijui fursa? Ni kweli taasisi za mikopo zina masharti magumu sana?au mawazo ni kuajiriwa tuu?
Tukumbuke tu juzi hapa wenzetu wa Uganda wametengeneza gari wenyewe,Wakenya wanatuuzia madawa mengi tu waliotengeneza wao, Nchi kama S.Africa leo wana workshorps za kutengeneza magari na vyombo wakadha vya moto.Watazame nchi ya Irani leo wanalalamikiwa na dunia nzima kwa kutengeneza silaha za nuclear kwa kutumia wataalam wao, Je, inawezekana waalimu wetu hawatuandai vizuri?
Mtu unajiita engineer au doctor, ama mchumi huna chochote ulichobuni mpaka unazeeka zaidi unategemea kamshahara ka serikalini. Hebu vijana tushauriane tutatokaje hapa?
Tukumbuke tu juzi hapa wenzetu wa Uganda wametengeneza gari wenyewe,Wakenya wanatuuzia madawa mengi tu waliotengeneza wao, Nchi kama S.Africa leo wana workshorps za kutengeneza magari na vyombo wakadha vya moto.Watazame nchi ya Irani leo wanalalamikiwa na dunia nzima kwa kutengeneza silaha za nuclear kwa kutumia wataalam wao, Je, inawezekana waalimu wetu hawatuandai vizuri?
Mtu unajiita engineer au doctor, ama mchumi huna chochote ulichobuni mpaka unazeeka zaidi unategemea kamshahara ka serikalini. Hebu vijana tushauriane tutatokaje hapa?