Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wastaafu wa Tanzania wanaoonekana wana akili na maono wengi wanawekeza kwenye nyumba za kupangisha, kujenga fremu za biashara na kuzipamgisha, wengine wananunua bodaboda 10-20 kwa mkupuo na kusubiri hesabu ingawa baada ya muda wanapigwa na kitu kizito kichwani.
Wengine wanawekeza kwenye kilimo cha mpunga, miti ya mbao na biashara zingine.
Shughuli nyingi za kiuchumi zinazofanywa na wastaafu hazina tija kubwa kwenye uchumi wa nchi.
Kuna viwanda vya chuma , kuna aina nyingi za mazao yanalimwa Tanzania. Ni wakati sasa serikali iwasapoti wastaafu wapate kuanzisha viwanda vidogo na vya kati kwa kushare .
Waitwe wataalamu India na China wastaafu wafundishwe kuzalisha angalau bush za pikipiki na magari. Soko lipo.
Wastaafu wafundishwe kusindika mazao ili wasafirishe.
Pamba zipo za kutosha viwanda vidogo vya nguo pia ni fursa .
Nchi imejaa mafremu mpaka kinyaa.
Wengine wanawekeza kwenye kilimo cha mpunga, miti ya mbao na biashara zingine.
Shughuli nyingi za kiuchumi zinazofanywa na wastaafu hazina tija kubwa kwenye uchumi wa nchi.
Kuna viwanda vya chuma , kuna aina nyingi za mazao yanalimwa Tanzania. Ni wakati sasa serikali iwasapoti wastaafu wapate kuanzisha viwanda vidogo na vya kati kwa kushare .
Waitwe wataalamu India na China wastaafu wafundishwe kuzalisha angalau bush za pikipiki na magari. Soko lipo.
Wastaafu wafundishwe kusindika mazao ili wasafirishe.
Pamba zipo za kutosha viwanda vidogo vya nguo pia ni fursa .
Nchi imejaa mafremu mpaka kinyaa.