kwanini watangazaji wengi wa redio na tv bongo wanatoka mikioa ya kaskaskizin

kwanini watangazaji wengi wa redio na tv bongo wanatoka mikioa ya kaskaskizin

tenanzinyo

Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
64
Reaction score
23
Wadau wa jf naomba kujuzwa kwanini watangazaji wengi sana wa redio na televisheni tz wanatokea au wanaasili ya mikoa ya kaskazini mwa tanzania yaan kilimanjaro,arusha na tanga?mfano ni baadhi tu milad ayo,vanessa mdee,b dozen adam mchomv, salma msangi,diva,abubakar sadiq,mishi b,gabriel zakaria wa tbc,gerald hando,babra hassan,amina molell,rose chitalla,gadner habashi,sophia kessy,dina marious,gea habib nk-Swali langu je kunaupendeleo maalum wanaupata watu wa kaskazini kwenye hz media au kuna sifa za ziada ambazo wanazo hawa wenzetu?
 
Kama ni hivyo watu watataka kujua ni kwanini wanajeshi wengi wanatoka mkoa wa MARA????????????
 
Wadau wa jf naomba kujuzwa kwanini watangazaji wengi sana wa redio na televisheni tz wanatokea au wanaasili ya mikoa ya kaskazini mwa tanzania yaan kilimanjaro,arusha na tanga?mfano ni baadhi tu milad ayo,vanessa mdee,b dozen adam mchomv, salma msangi,diva,abubakar sadiq,mishi b,gabriel zakaria wa tbc,gerald hando,babra hassan,amina molell,rose chitalla,gadner habashi,sophia kessy,dina marious,gea habib nk-Swali langu je kunaupendeleo maalum wanaupata watu wa kaskazini kwenye hz media au kuna sifa za ziada ambazo wanazo hawa wenzetu?

Siyo kweli bana Dina Marios ni mhaya
 
Umedanganya hapo!Gabriel zakaria ni mtu wa mara.
 
Nachojua mimi gabriel zacharia amesomea primary na sekondary na kukulia maeneo ya ngaramtoni mjini arusha!ila ckatai labda wazazi wake ni wahamiaji toka huko musoma Mara
 
Wadau wa jf naomba kujuzwa kwanini watangazaji wengi sana wa redio na televisheni tz wanatokea au wanaasili ya mikoa ya kaskazini mwa tanzania yaan kilimanjaro,arusha na tanga?mfano ni baadhi tu milad ayo,vanessa mdee,b dozen adam mchomv, salma msangi,diva,abubakar sadiq,mishi b,gabriel zakaria wa tbc,gerald hando,babra hassan,amina molell,rose chitalla,gadner habashi,sophia kessy,dina marious,gea habib nk-Swali langu je kunaupendeleo maalum wanaupata watu wa kaskazini kwenye hz media au kuna sifa za ziada ambazo wanazo hawa wenzetu?

Wanatangaza redio gani hawa as majina yao mengi kwangu mageni ukiacha Ayo na Mollel
 
Sio kwamba kuna upendeleo ila hao watu waliiweza hiyo job
 
Hata hapa JF member wengi wanatokea kanda ya Kaskazini wa kwanza ni Rutashubanyuma japokua yeye ni Mhaya! halafu nikifuatia mimi! Endelea!!!!
 
Wadau wa jf naomba kujuzwa kwanini watangazaji wengi sana wa redio na televisheni tz wanatokea au wanaasili ya mikoa ya kaskazini mwa tanzania yaan kilimanjaro,arusha na tanga?mfano ni baadhi tu milad ayo,vanessa mdee,b dozen adam mchomv, salma msangi,diva,abubakar sadiq,mishi b,gabriel zakaria wa tbc,gerald hando,babra hassan,amina molell,rose chitalla,gadner habashi,sophia kessy,dina marious,gea habib nk-Swali langu je kunaupendeleo maalum wanaupata watu wa kaskazini kwenye hz media au kuna sifa za ziada ambazo wanazo hawa wenzetu?
Babra Hassan anato kismayu, hajaukana utaifa wake.
 
Back
Top Bottom