pantheraleo JF-Expert Member Joined Jan 5, 2013 Posts 692 Reaction score 880 Jan 8, 2013 #21 tedo said: Bandiko lako ungeliweka hivi: Kwanini watangazaji wengi wa Clouds Fm wanatokea mikoa ya Kaskazini..? Click to expand... Hilo ndio lilikuwa lengo lake.
tedo said: Bandiko lako ungeliweka hivi: Kwanini watangazaji wengi wa Clouds Fm wanatokea mikoa ya Kaskazini..? Click to expand... Hilo ndio lilikuwa lengo lake.
pantheraleo JF-Expert Member Joined Jan 5, 2013 Posts 692 Reaction score 880 Jan 8, 2013 #22 tedo said: Bandiko lako ungeliweka hivi: Kwanini watangazaji wengi wa Clouds Fm wanatokea mikoa ya Kaskazini..? Click to expand... Haswaaaa........hilo ndio lilikuwa lengo lake,ila sio mbaya ujumbe umefika.
tedo said: Bandiko lako ungeliweka hivi: Kwanini watangazaji wengi wa Clouds Fm wanatokea mikoa ya Kaskazini..? Click to expand... Haswaaaa........hilo ndio lilikuwa lengo lake,ila sio mbaya ujumbe umefika.
C ChiefmTz JF-Expert Member Joined Apr 15, 2008 Posts 2,937 Reaction score 942 Jan 8, 2013 #23 Ndallo said: Hata hapa JF member wengi wanatokea kanda ya Kaskazini wa kwanza ni Rutashubanyuma japokua yeye ni Mhaya! halafu nikifuatia mimi! Endelea!!!! Click to expand... Na wewe unatokea Majita Mara
Ndallo said: Hata hapa JF member wengi wanatokea kanda ya Kaskazini wa kwanza ni Rutashubanyuma japokua yeye ni Mhaya! halafu nikifuatia mimi! Endelea!!!! Click to expand... Na wewe unatokea Majita Mara
trachomatis JF-Expert Member Joined Jun 7, 2011 Posts 3,758 Reaction score 744 Jan 8, 2013 #24 CLONEY said: Siyo kweli bana Dina Marios ni mhaya Click to expand... Ya Mhaya.. labda aseme kaskazini magharibi..
CLONEY said: Siyo kweli bana Dina Marios ni mhaya Click to expand... Ya Mhaya.. labda aseme kaskazini magharibi..