Ndege/Wanyama wengi wanakuwa na aina tofauti, Kuna Tausi wa Asia na Africa, Tembo wa Asia na Africa, Simba wa Asia na Africa etc.
Tanzania pia kuna Tausi, ila wapo wengi zaidi Congo basin, ukiangalia Tanapa utaona ni katika wanyama pori tulionao.
Ukitoa Origin ya Yake huyo Ndege Artistic point of view Tausi aliyewekwa ana rangi ya Kijani, Njano, Nyeusi na Blue, Rangi za bendera ya taifa.