Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Huu ni Mwaka wa Tano sasa sikaribishwi katika Sikukuu hizi Kubwa Kubwa kama ilivyokuwa zamani.
Hadi nimejiuliza kwani Watanzania wa kuanzia mwaka 2015 hadi leo hii wana nini na mbona hawafanani kwa Roho nzuri na Ukarimu hadi wa Kugawiana Pesa na Zawadi kama wale wa mwaka 2005 hadi 2015?
Hadi nimejiuliza kwani Watanzania wa kuanzia mwaka 2015 hadi leo hii wana nini na mbona hawafanani kwa Roho nzuri na Ukarimu hadi wa Kugawiana Pesa na Zawadi kama wale wa mwaka 2005 hadi 2015?