Kwanini Watanzania walio wengi wanapendelea kufanya kazi hizi kuliko professional work

Kwanini Watanzania walio wengi wanapendelea kufanya kazi hizi kuliko professional work

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini?

1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya udalali imeshika kasi kiasi kwamba wasomi na wasio wasomi wote wako humo. Na sio rahisi kwasasa kufanikiwa jambo la kupata kiwanja au gari bila dalali

2. Uchambuzi wa mipira ya ndani na nje siku hizi kila mtazania amekua mchambuzi wa mpira rasmi wengine sio rasimi.

3. Betting imekua sehemu ya ajira ya vijana na watu wazima kiasi kwamba wanafuatilia ligi za mipira duniani nzima mpaka ligi ya mpira ya India.

4. Kuangizia mtu gari Japan au Ulaya hi na yenyewe imekua kazi maalumu yani badala ya kulipia gari mwenyewe huyu Mswahili ndo anakua commission agent kwa gari ambao sio ya kwake ili apate cha juu mpaka wanatangaza ma maredioni.
 
Hizo Proffessional Work ni zipi na zipo wapi?

Ukijibu hayo maswali utakuwa umepata jibu la swali lako.....

By the way betting sio kazi unless wewe ndio mchezeshaji na sio mchezaji.....
 
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini?

1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya udalali imeshika kasi kiasi kwamba wasomi na wasio wasomi wote wako humo. Na sio rahisi kwasasa kufanikiwa jambo la kupata kiwanja au gari bila dalali

2. Uchambuzi wa mipira ya ndani na nje siku hizi kila mtazania amekua mchambuzi wa mpira rasmi wengine sio rasimi.

3. Betting imekua sehemu ya ajira ya vijana na watu wazima kiasi kwamba wanafuatilia ligi za mipira duniani nzima mpaka ligi ya mpira ya India.

4. Kuangizia mtu gari Japan au Ulaya hi na yenyewe imekua kazi maalumu yani badala ya kulipia gari mwenyewe huyu Mswahili ndo anakua commission agent kwa gari ambao sio ya kwake ili apate cha juu mpaka wanatangaza ma maredioni.
Matajiri wote wa dunia ni madalali kwa namna moja au nyingine. The form ndo tofauti.
 
Matajiri wote wa dunia ni madalali kwa namna moja au nyingine. The form ndo tofauti.
Watanzania hupenda kazi nyepesi hata wale wenye taaluma zao ni nadra sana kukutana na cusltancy firms Dar zinao milikiwa na wa bongo, wengi hupenda pesa za haraka, hatuna tamaduni ya kujenga bussiness careers.
 
Haaaa ongeza na wanaopost bidhaa mtandaoni wanauza

Ila picha wanazoweka ni za downlod
Pia kuna hao wanao post bidhaa mitandao, na wachora ramani huonyesha nyumba za mitandao ziliopo nje ya Tanzania zenye finishing nzuri nakukwambia eti anaweza kukujengea nyumba kama hiyo, hapo ndo unajiuliza, uchoraji ramani ya nyumba na ujenzi aukufanyia nyumba finishing wapi na wapi? Watanzania tunapenda biashara za utapeli au uongo uongo.
 
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini?

1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya udalali imeshika kasi kiasi kwamba wasomi na wasio wasomi wote wako humo. Na sio rahisi kwasasa kufanikiwa jambo la kupata kiwanja au gari bila dalali

2. Uchambuzi wa mipira ya ndani na nje siku hizi kila mtazania amekua mchambuzi wa mpira rasmi wengine sio rasimi.

3. Betting imekua sehemu ya ajira ya vijana na watu wazima kiasi kwamba wanafuatilia ligi za mipira duniani nzima mpaka ligi ya mpira ya India.

4. Kuangizia mtu gari Japan au Ulaya hi na yenyewe imekua kazi maalumu yani badala ya kulipia gari mwenyewe huyu Mswahili ndo anakua commission agent kwa gari ambao sio ya kwake ili apate cha juu mpaka wanatangaza ma maredioni.
Kutafutia wanawake baadhi ya wanaume
 
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini?

1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya udalali imeshika kasi kiasi kwamba wasomi na wasio wasomi wote wako humo. Na sio rahisi kwasasa kufanikiwa jambo la kupata kiwanja au gari bila dalali

2. Uchambuzi wa mipira ya ndani na nje siku hizi kila mtazania amekua mchambuzi wa mpira rasmi wengine sio rasimi.

3. Betting imekua sehemu ya ajira ya vijana na watu wazima kiasi kwamba wanafuatilia ligi za mipira duniani nzima mpaka ligi ya mpira ya India.

4. Kuangizia mtu gari Japan au Ulaya hi na yenyewe imekua kazi maalumu yani badala ya kulipia gari mwenyewe huyu Mswahili ndo anakua commission agent kwa gari ambao sio ya kwake ili apate cha juu mpaka wanatangaza ma maredioni.
Zote ni brokerage business model, and they are too services dependent. Na zinaongoza kukeep watu busy ila faida inayopatikana huwa chache.
 
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini?

1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya udalali imeshika kasi kiasi kwamba wasomi na wasio wasomi wote wako humo. Na sio rahisi kwasasa kufanikiwa jambo la kupata kiwanja au gari bila dalali

2. Uchambuzi wa mipira ya ndani na nje siku hizi kila mtazania amekua mchambuzi wa mpira rasmi wengine sio rasimi.

3. Betting imekua sehemu ya ajira ya vijana na watu wazima kiasi kwamba wanafuatilia ligi za mipira duniani nzima mpaka ligi ya mpira ya India.

4. Kuangizia mtu gari Japan au Ulaya hi na yenyewe imekua kazi maalumu yani badala ya kulipia gari mwenyewe huyu Mswahili ndo anakua commission agent kwa gari ambao sio ya kwake ili apate cha juu mpaka wanatangaza ma maredioni.
Hio ni service industry vs capital or phycal industry.
Bima nayo ni service industry

Hizo biashara unakula cha juu.Hina unachonunua zaifi ya vibali vya serikali.
Dunia instoka kwenye uwekezaji wa bifhaa kwenda huduma.
Hata wamiliki wa mitandao ya kijamii hawauzi chochote, nao ni madali.
Wanamiliki lebo ila physicsl facilities sio zao mfano JF.
Haushangai biashara ya kuuza na kununua wachezaji?
Binadamu anauzwa kama bidhaa
 
Wengine ni kazi ya pembeni baada ya kazi rasmi. Sababu haziitaji ofisi.
 
Utafiti mbali mbali kuhusu ujasilia mali na ajira umegundua kwamba watanzania wengi wamejikuta kwenye ajira zisio rasimi zifuatozo kwanini?

1. Udalali wa viwanja nyumba na gari hi tasinia ya udalali imeshika kasi kiasi kwamba wasomi na wasio wasomi wote wako humo. Na sio rahisi kwasasa kufanikiwa jambo la kupata kiwanja au gari bila dalali

2. Uchambuzi wa mipira ya ndani na nje siku hizi kila mtazania amekua mchambuzi wa mpira rasmi wengine sio rasimi.

3. Betting imekua sehemu ya ajira ya vijana na watu wazima kiasi kwamba wanafuatilia ligi za mipira duniani nzima mpaka ligi ya mpira ya India.

4. Kuangizia mtu gari Japan au Ulaya hi na yenyewe imekua kazi maalumu yani badala ya kulipia gari mwenyewe huyu Mswahili ndo anakua commission agent kwa gari ambao sio ya kwake ili apate cha juu mpaka wanatangaza ma maredioni.
Elimu yetu ndio imeishia hapo,Tena hao waxhambuzi wa mpira,jinsi wanavyopayuka,utafikiri wameusomea huo mpira.
 
PHD holder anakuwa MC wa maharusi🏃🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom